Hahahahaaa nimecheka sana kipenz changubeira boy umenifurahisha ! aishie zakwe bwana kiasa sasa hv una' malu malu' na ndinga kali ndo amekukumbuka ! achana naye aisee ila usiweke hadharan mali zako jaman mbn unanifanya niwe na kiroho juu juu kuwa nitapokonywa ?????
hizo habar za' malu malu' na ndinga bwana we usiziweke hapa si unaona wanawake wanavyokusumbua pm???
hahahahahaahahha"......
Kwa sasa niko safi kila kitu ninacho dinga lipo gheto malu malu had choon yaan ful ac afu et ndo anataka kurud kwangu "
HAYA MAISHA YA JF RAHA SANA
NAHUJA
Yaleyale uliyosema juzi katihahahahahaahahha
hahahahahahahahYaleyale uliyosema juzi kati
ndio hivyohahahahahahahah