Hiyo wanaisema wakubwa kuwa ni mhimu sana na kama usipofanya hivyo, mtoto shingo yake inaweza isiwe ngumu, inaweza kuwa mdebwedo. kuna wengine wanaamini kuzibua masikio one week baada ya mwanamke kujifungua hasa kama hukupata matatizo ya uzazi. tafuta kwenye profile yangu, utakuta kuna thread ya kuhoji mambo hayo
Nasikia shingo mdebwedo hutibwa kwa kupigwa na kichwa cha chini.
Unaniangusha sasa, don't loose it! U know what I mean and I aint shoot u!
Na akianza kukojoa je inakuwaje? Ila swali langu halijajibiwa.
Jamani TIQO, si useme sasa kuna siri gani hapo?
Ngoja nikufuate PM
Unantania, I will shoot.
Hahahaha kwani huyo mtoto ni wa kike au wa kiume?
Kwani uzibuaji unahusisha jinsia?
Kwenye style inahusika katika uzibuaji
ahaaahaaaaa mbavu zangu jamani nilikuwa napita tu ikabidi nisimame nisikilize.
Mweh! Ngoja nitafute chumba uswazi, inaelekea napitwa na mengi.
Kwenye style inahusika katika uzibuaji