Anatamani..

Anatamani..

SI unit

JF-Expert Member
Joined
Feb 24, 2012
Posts
1,953
Reaction score
767
Wajamen habari yenu! Naomba niwashirikishe hili jambo ili mnipe mawazo/ushaur wenu. Kuna jamaa yangu alikua na rafiki wa kike, walikua na urafiki tangu primary na urafiki ulianzia kwenye kufundishana kwan jamaa alikua madarasa matatu mbele ya huyo dada kwa hiyo alikua anampigia "tuit" hususan ya hesabu. Jamaa alianza kumpa promis ya kumuoa kwa hiyo alimsisitiza asome kwa bidii ili waje kuwa na familia bora. Kwa bahati nzuri mshkaj alifaulu na kwenda shule boarding mbali na mkoa wao, mawasiliano ya barua (miaka hiyo) yakawa ndiyo kiunganishi kikuu kwao. Jamaa akiwa form 3 dem ndo alikua form 1 kwenye shule ya kata, miaka ikasonga hatimae jamaa akafika university bahati mbaya dem hakufanya vizuri form 4 therefore akaenda ualimu! Kumbuka jamaa hakuwah kumega mzigo so anajua mali bado ni mpya. Temptation za kula "mzigo" zikamnyemelea, lakini kila akiomba anabaniwa na kuambiwa wasubirie ndoa kama ilivyo ahadi yao. Kupenda kubaya, jamaa akatulia! Wakati dem anamaliza college hakumaliza miezi mitatu akajifungua toto la nguvu la kiume. Mshkaji aliumia sana coz yeye alikua bado ni "bikra" akiamini watakuja kuzinduana na "his expected wife". Hapo ikawa total CONFUSION! Akaanza kuwa malaya, mitaa yate ya machangu alijulikana, kidogo angedisco chuo akiwa mwaka wa 4. Baadae akajirudi, akajitambua na ameoa kwa sasa! Yule dem wake wa primary amemtafuta, na anamsumbua sana! Anamwambia anajutia ujinga aliofanya kwan mwanaume aliyezaa nae alikua anamfukuzia mda mrefu but alimwonesha msimamo! Kosa alilofanya alikubali mwaliko wa kwenda nyumbani kwa huyo mwanaume, akachezewa "raf" na kufanyiwa mautundu ya hapa na pale mpaka mwishoni akapata temptation na kujikuta ametoa "tunda". Ndiyo siku hiyo pekee ilimfanya aje kuitwa mama, yaan kubikiriwa na mimba juu!
Moyo wa huruma unamwingia jamaa lakin ameshaoa. Bint anamwambia anaomba awe hata nyumba ndogo yake (hajaolewa mpaka sasa na anasema hataki kuolewa) na hatamsumbua wala kuvunja ndoa yake. NI KISA KIREFU ILA NIMEFUPISHA. Ushauri wenu tafadhali. Binti anasema natamani..natamani..kurudisha siku nyuma ili nijikosoe pale nilipokosea!
 
Mwanaume ambaye hajawahi kufanya mapenzi toka azaliwe(ngono)nae anaitwa bikira?
 
Si amsamehe tu, yeye alitaka mke au bikra? hayo makosa yanafanywa na kila binadamu. Shauri la kumchukua kama ni nyumba ndogo ni gumu ikiwa jamaa keshakuwa na family yake, anachoweza kukifanya kama ubinadamu ni kumsaidia huyu dada ajikomboe lakini halazimishwi kurudisha mapenzi ikiwa hayapo tena.

Mimi la nyumba ndogo sishauri..
 
Mwambie jamaa awe anakula vitu kama mke wake yuko kwenye period :biggrin:

Asiowe mana huyo kisha chezewa rafu nyuma, huyo wakufanya nae mazoezi tu wakati yuko free.
 
Mwanaume ambaye hajawahi kufanya mapenzi toka azaliwe(ngono)nae anaitwa bikira?

Naona hujaelewa story hiyo rudia tena.
Ambaye alikuwa bikra ni mwanamke alikuwa anambania mshkaji matokeo yake kuna kidume kilimpa mwaliko kikamega siku moja na siku hiyo hiyo mimba jamaa alichanganyikiwa akiwa chuo.
 
Mwambie jamaa awe anakula vitu kama mke wake yuko kwenye period :biggrin:

Asiowe mana huyo kisha chezewa rafu nyuma, huyo wakufanya nae mazoezi tu wakati yuko free.

Kweli mkuu jamaa awe anajifunzia mazoezi madogo madogo ya viungo
 
Si amsamehe tu, yeye alitaka mke au bikra? hayo makosa yanafanywa na kila binadamu. Shauri la kumchukua kama ni nyumba ndogo ni gumu ikiwa jamaa keshakuwa na family yake, anachoweza kukifanya kama ubinadamu ni kumsaidia huyu dada ajikomboe lakini halazimishwi kurudisha mapenzi ikiwa hayapo tena.

Mimi la nyumba ndogo sishauri..

Point taken madame
 
Wewe na yeye mkasilize wimbo wa DUSHELELE wa ALI KIBA humo yamo majibu
 
Kweli mkuu jamaa awe anajifunzia mazoezi madogo madogo ya viungo

Si anaweza kukolea na kusahau familia yake? I mean ule upendo wa zamani unaweza kurejea, akaanza kupiga mwezi mzima kny nyumba ndogo. Halaf si mnajua wanawake wa nyumba ndogo wana mbinu chafu? Jamaa anashindwa kuelewa kwa nini huyo mdada ametamka wazi kuwa anataka awe nyumba ndogo yake
 
Wajamen habari yenu! Naomba niwashirikishe hili jambo ili mnipe mawazo/ushaur wenu. Kuna jamaa yangu alikua na rafiki wa kike, walikua na urafiki tangu primary na urafiki ulianzia kwenye kufundishana kwan jamaa alikua madarasa matatu mbele ya huyo dada kwa hiyo alikua anampigia "tuit" hususan ya hesabu. Jamaa alianza kumpa promis ya kumuoa kwa hiyo alimsisitiza asome kwa bidii ili waje kuwa na familia bora. Kwa bahati nzuri mshkaj alifaulu na kwenda shule boarding mbali na mkoa wao, mawasiliano ya barua (miaka hiyo) yakawa ndiyo kiunganishi kikuu kwao. Jamaa akiwa form 3 dem ndo alikua form 1 kwenye shule ya kata, miaka ikasonga hatimae jamaa akafika university bahati mbaya dem hakufanya vizuri form 4 therefore akaenda ualimu! Kumbuka jamaa hakuwah kumega mzigo so anajua mali bado ni mpya. Temptation za kula "mzigo" zikamnyemelea, lakini kila akiomba anabaniwa na kuambiwa wasubirie ndoa kama ilivyo ahadi yao. Kupenda kubaya, jamaa akatulia! Wakati dem anamaliza college hakumaliza miezi mitatu akajifungua toto la nguvu la kiume. Mshkaji aliumia sana coz yeye alikua bado ni "bikra" akiamini watakuja kuzinduana na "his expected wife". Hapo ikawa total CONFUSION! Akaanza kuwa malaya, mitaa yate ya machangu alijulikana, kidogo angedisco chuo akiwa mwaka wa 4. Baadae akajirudi, akajitambua na ameoa kwa sasa! Yule dem wake wa primary amemtafuta, na anamsumbua sana! Anamwambia anajutia ujinga aliofanya kwan mwanaume aliyezaa nae alikua anamfukuzia mda mrefu but alimwonesha msimamo! Kosa alilofanya alikubali mwaliko wa kwenda nyumbani kwa huyo mwanaume, akachezewa "raf" na kufanyiwa mautundu ya hapa na pale mpaka mwishoni akapata temptation na kujikuta ametoa "tunda". Ndiyo siku hiyo pekee ilimfanya aje kuitwa mama, yaan kubikiriwa na mimba juu!
Moyo wa huruma unamwingia jamaa lakin ameshaoa. Bint anamwambia anaomba awe hata nyumba ndogo yake (hajaolewa mpaka sasa na anasema hataki kuolewa) na hatamsumbua wala kuvunja ndoa yake. NI KISA KIREFU ILA NIMEFUPISHA. Ushauri wenu tafadhali. Binti anasema natamani..natamani..kurudisha siku nyuma ili nijikosoe pale nilipokosea!

Mkasikilize DUSHELELE by ALI KIBA humo kajaza maushauri ya mambo kama hiii
 
Nashauri jamaa ajifunzie kwa huyu demu kula kuku mtamu
 
Si anaweza kukolea na kusahau familia yake? I mean ule upendo wa zamani unaweza kurejea, akaanza kupiga mwezi mzima kny nyumba ndogo. Halaf si mnajua wanawake wa nyumba ndogo wana mbinu chafu? Jamaa anashindwa kuelewa kwa nini huyo mdada ametamka wazi kuwa anataka awe nyumba ndogo yake

Nyumba ndogo hii mkuu itamuimalishia nyumba kubwa yake, kama nyumba kubwa inakibuli aidha cha kukataa kuamka usiku jamaa ale mzigo nyumba ndogo itamfanya ajitume
 
Nyumba ndogo hii mkuu itamuimalishia nyumba kubwa yake, kama nyumba kubwa inakibuli aidha cha kukataa kuamka usiku jamaa ale mzigo nyumba ndogo itamfanya ajitume

Kuimarisha au kuvunja mkuu, naomba ufafanuzi hapo tafadhali
 
Mkuu kama una hiyo mistari iweke jamvini tafadhali, wengine humu ni hobbyless na bongofleva

Ndo maana mnakutana na bahati mbaya kwa uvivu wa kufikiri na kujifunza kama huu. Unafundishwa kuvua samaki we unataka upewe alokwishavuliwa...hilo ni somo nakupa we unaleta mambo ya Hobby....

This is a necessity......forget about hobbies linapokuja suala la maisha
 
jamaa aendelee na maisha yake tu.... haya mambo ya kusympathize na kuanza ku-rationalize na kutafuta justification za kurudisha uhusiano na huyo binti zitam-cost big time
 
Ndo maana mnakutana na bahati mbaya kwa uvivu wa kufikiri na kujifunza kama huu. Unafundishwa kuvua samaki we unataka upewe alokwishavuliwa...hilo ni somo nakupa we unaleta mambo ya Hobby....

This is a necessity......forget about hobbies linapokuja suala la maisha

Nimekusoma kiongozi!
 
Back
Top Bottom