mahirtwahir
JF-Expert Member
- Jan 12, 2013
- 613
- 313
Hahahahaaaaaaa, mimi nikadhani peke yangu nimekutana na msamiati mpya! Nikajisemea moyoni wanaume wa Dar kwa misamiati hawajamboDah, kiswahili kina uwanja mpana sana
ndomana nawaonea huruma wanaojifunza hii lugha....Hahahahaaaaaaa, mimi nikadhani peke yangu nimekutana na msamiati mpya! Nikajisemea moyoni wanaume wa Dar kwa misamiati hawajambo
Mpeleke Regency kwa wataalamu wa akina Mama,itapelekea miscarriage. Uwe na kama laki 120,000. atachomwa sindano 1@40,000.Jamani wataalamu nawaombeni msaada mke wa ndugu yangu (shemeji) yuko na mimba mwezi wa 3 tena unakaribia cha kushangaza baazi ya siku anakua anatoka damu hasa asubuhi akiamka ila anakua haioni tena hadi siku ya 2 ama hali hiii hutokea akichchumaliwa na mume wake.
Pia tumbo linamuuma sanakaribu kila siku hadi ni mashaka.
Naombeni msaaada kwa ajuaye.
Ngumu sana hii kuliko ile ya malkia. Jamaa huyu inabidi atupe maana ya msamiati wake maana kwangu napata picha mbili hapo:ndomana nawaonea huruma wanaojifunza hii lugha....