mahirtwahir
JF-Expert Member
- Jan 12, 2013
- 613
- 313
Jamani wataalamu nawaombeni msaada mke wa ndugu yangu (shemeji) yuko na mimba mwezi wa 3 tena unakaribia cha kushangaza baazi ya siku anakua anatoka damu hasa asubuhi akiamka ila anakua haioni tena hadi siku ya 2 ama hali hiii hutokea akichchumaliwa na mume wake .
Pia tumbo linamuuma sanakaribu kila siku hadi ni mashaka
Naombeni msaaada kwa ajuaye.
Pia tumbo linamuuma sanakaribu kila siku hadi ni mashaka
Naombeni msaaada kwa ajuaye.