sentensi kama '' ANATUMIA KIPANDE CHA SABUNI YULE''Ngumu sana hii kuliko ile ya malkia. Jamaa huyu inabidi atupe maana ya msamiati wake maana kwangu napata picha mbili hapo:
i) chuchumaliwa=kufanya mapenzi
ii) chuchumaliwa=mtu kuchuchumaa karibu na huyo mama mjamzito