Pure_sapiens
JF-Expert Member
- Dec 25, 2016
- 2,228
- 2,064
Habari zenu wana jf kuna mtu wa karibu yangu anapatwa na tatizo kwa siku kama mbili.
Anasumbuliwa na muwasho ukeni pamoja na harufu kali pia wakati wa kukojoa mkojo unakuwa wa njano sana alafu kunatoa ute mzito kama mafuwa hivi.
Msaada wenu tafadhali, je atakuwa anasumbuliwa na ugonjwa gani na unatibika je dawa gani anaweza kutumia ili kuondoa tatizo hilo.
Natanguliza shukrani za dhati kwenu
Anasumbuliwa na muwasho ukeni pamoja na harufu kali pia wakati wa kukojoa mkojo unakuwa wa njano sana alafu kunatoa ute mzito kama mafuwa hivi.
Msaada wenu tafadhali, je atakuwa anasumbuliwa na ugonjwa gani na unatibika je dawa gani anaweza kutumia ili kuondoa tatizo hilo.
Natanguliza shukrani za dhati kwenu