Anatomical Question on Squirting: Why Only Some and Why So Much Fluid?

Pascal Mayalla,
Hii inakwenda sawa na watu wanaokula matoke, kama huli matoke na nyanya chungu au ngongwe hakuna squirting au kunyaza, sehemu zenye squirting ni Mbeya, kagera, Ukerewe, Kigoma, Ngara, Uganda kwa Waganda, Wanyankole, Wachiga, Watoro, na Wanyaro, Wanyarwanda, Burundi (interlacustrine region ) na kuna ufundi wa kushughulika mwanaume wanaita kunyaza au katerero
 

Itabidi nianze kula hivyo vyakula huwa naambiwa tu zina faida halfu ndo hazipandi nianze na ndizi .

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Topic closed![emoji76]
 
Hii kitu bhana inahitaji more research kama Pasco alivyosema.

Na wanaosema wanawake wote wanasqurt wajitafakari upya. Kandanya ziwa (expt BK)squirting ni nadla sana, na haimaanishi kuwa hawaenjoy sex.

Nilishawahi kuwa na manz mmoja hapo dsm mchanganyiko mzaramo na mgogo, one day tunapiga show kwenye kochi si nikashangaa maji maji kama ya perfume mepesi hivi na lain kwenye kochi, kuangalia vizuri nikaona tumboni kwangu napo.

Aaaaaah mzee nikaongeza spid ya kukanyaga pedo kifua na tumbo vyote vikaloa. I really enjoyed the day.


Cha ajabu na cha kushangaza yeye hakufurahia hiyo hali, kumsifia kote lakin hakuonyesha kufurahia. Days zimeenda tumekutana tena nikamwambia nataka unikojolee kama sku ile, piga shows zote na zaid for lasting longer lakin wapi.

Mwisho wa mchezo nikaambiwa UKOME!😂😂
 
Hii siyo anatomical question NI physiological question
 
Hii siyo anatomical question NI physiological question
Japo nimesoma biology O- Level na ku score C, pia nina C ya Hesabu, Kemia na Phizikia lakini sikwenda PCB, nilikwenda HGL ambako nilikuwa nimejenga vibanda!.
Nisaidie kuhusu anatomy ni nini na physiology ni nini?.
P
 
Mkuu sikweli mimi nimekutananazo nyingi tu na siwote kutoka... "British Kingdom!". wengine kutoka Mikoa ya Kasikakzini!!Hata Dodoma!!!Na hii kuna ufundi wake inatakiwa kila mwanamke aweanatoa hii kitu japo kuna ambao hawana hataufanye ufundi gani!!

Ufundi gani huo mkuu...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…