Anatomical Question on Squirting: Why Only Some and Why So Much Fluid?

Anatomical Question on Squirting: Why Only Some and Why So Much Fluid?

Japo nimesoma biology O- Level na ku score C, pia nina C ya Hesabu, Kemia na Phizikia lakini sikwenda PCB, nilikwenda HGL ambako nilikuwa nimejenga vibanda!.
Nisaidie kuhusu anatomy ni nini na physiology ni nini?.
P
Anatomy NI jinsi Tu mwili ulivyokaa in detail wakati physiology unazungumzia mwili unavyofanya kazi (mfano msuli minyuzinyuzi na mishipa ilivyojipanga ni anatomi lakin nini kinafanyika mpaka msuli unajikunja ni phisiology)
 
Wenye utaalaam na mambo ya anatomy, naulizia anatomical reasons, why only some do and others don't?.
For those who does, why some just some little fluid and others so much fluid?! appx over a litre mpaka kitanda chote kinaloa, shuka zinaloa hadi godoro linaloa?!.
Pascal Mayalla yaelekea weekend hii ilikuwa ya experiment ya kufa mtu
 
Pascal Mayalla yaelekea weekend hii ilikuwa ya experiment ya kufa mtu
Mkuu Faana , ni kweli ilikuwa ni weekend ya practical ila ilikuwa date May 11, 2012, ila kwa upande wa kula misosi, nimekula sana tuu, saa hizi naelekea 60, siwezi tena kutafuna sana nyama, siku hizi ni mboga mboga tuu.

P
 
Ile sio pee!, pee in harufu and yellowish and salty, ile ni clear, odorless and sticky with viscosity, not salty!, hivyo sio pee!.
P
Mkuu mkojo kuwa na harufu sio jambo la lazima.

Mkojo kuwa na rangi sio jambo la lazima.

Mkojo kuwa na salt sio jambo la lazima.
 
Wanabodi,

Wenye utaalaam na mambo ya anatomy, naulizia anatomical reasons, why only some do and others don't?.
For those who does, why some just some little fluid and others so much fluid?! appx over a litre mpaka kitanda chote kinaloa, shuka zinaloa hadi godoro linaloa?!. Na kwa vile mhusika huwa anajijua ni "squirting type", huwa anashauri kutangulizwa kwa taulo nzito iliyokujwa mara mbili ili kuzuia kuloa kwa mashuka na kitanda kizima!. Hii situation nimewahi kukutano nayo twice na wahusika wote wawili ni watu wa "British Kingdom!".

Where does so much fluid comes from?. The only organ that keeps such amount of fluid is the blader, but that fluid is clear, odorless, it means its not urine, and its not sticky, means its not lubricants!. What is that fluid?!, and where does such fluid comes from, which organ is it produced and stored?!.

NB.
Haya ni maswali ya medical yanahitaji professional answers na sio mambo yetu yale ndio maana tuko Jukwa la JF doctor na sio kule!.
Ntaifanyia research case study iwe wap..🤓🤓🤓
 
Mwanaume rijali na aliyekamilika kabisa
Hiyo hali ya Ke kuyatoa maji
itamfurahisha mno
ataona Fahari sana!
Kiukweli nimekutana na watatu katika maisha yangu
But kamwe sijawahi kuwaza kuwaacha
Kila nikijitahidi huwa najikuta nawatafuta tu
coz ile kugusa tu
Yaani godoro lote maji balaaa
Aiseee acheni maji yana raha yake!
Nawaza kwenda Rwanda na Uganda wallah
 
Mwanaume rijali na aliyekamilika kabisa
Hiyo hali ya Ke kuyatoa maji
itamfurahisha mno
ataona Fahari sana!
Kiukweli nimekutana na watatu katika maisha yangu
But kamwe sijawahi kuwaza kuwaacha
Kila nikijitahidi huwa najikuta nawatafuta tu
coz ile kugusa tu
Yaani godoro lote maji balaaa
Aiseee acheni maji yana raha yake!
Nawaza kwenda Rwanda na Uganda wallah
Je wanapata raha wakati wanatoa hayo maji au wanafeel proud tu ?
 
Hakika haka kahuduma kana hitaji mazoezi. Otherwise mwanamke yyte anaweza kusquirt tu. Mimi nna mangi wangu ameshasahau kabisa orgasm ya kawaida. Na tukiitaka tunaitafuta sana. Ila squirting ni shidaaaaa! Anaweza wa kupiga hata tatu over night. Though zikifika tatu kesho yake kuamka saa tano. Ila tell you guys ukiipatia hakika ni njia mojawapo ya kuimarisha sana ndoa. Sijisifu. Mangi hasikii haelewi. Nalindwa kama sina akili nzuri. Na madai yake nikimfanyia mwanamke kama nnavyomfanyia hawezi kuniacha. Hahaaa. Anaogopa kuporwa. Ila aliyesema maumbile naungana naye. Sababu kuna kitu unique nakiona kwake tofauti na sehemu zote nilizowahi pita. Na nyongeza kidogo, wala squirting yake hatutumii g spot it's just clit stimulation kama dk 5-8 and she gives you the hell! Mapenzi yana mambo bhana. But all in all this thing ukiipatia hata wewe mwanaume unaenjoy isivyo kawaidaaa.

Sent using Jamii Forums mobile app
Clit stimulation ndio kupiga brash huko ndugu, Wahaya wanaita "katerero"
 
Du Mkuu SMU, hapa sasa naona si unanitafutia kesi?!, nikiweka jukwaa hili patakalika hapa?!. Kama yalivyo matunda mbalimbali ya kutengenezea juice, kiwango cha juice kinategemeana na tunda, kama ndimu ina kiwango chake, chungwa lina kiwango chake, passion ina kiwango chake, embe lina kiwango chake, na tikiti lina kiwango chake, wanawake nao wako hivyo hivyo, vindimu ndimu vipo, machungwa yapo, maembe yapo na matikiti pia yapo!, squirting type ni "tikiti!".
Pasco.
Nimewahi experience mwanamke wa kinyaturu kule Singida aki squirt, alifungulia "bomba la maji" godoro likalowa chapa chapa nilishangaa sana. Hii kitu inaweza kumtokea mwanamke yoyote, sio lazima awe wa Kagera, Rwanda n.k
 
Pascal Mayalla ,japo labda it's late, ila kama ulivyoelezea,kuna factors nyingi mpaka mwanamke anaweza kuachia yale makolokolo.

Badhi umesema:
Mwanamke,kwanza kabisa
-kama anayo,lakini kiakili hayuko sawa,unaweza upate kidogo au usipate kabisa.

-mazingira ya maisha,huchangia pia. Wa BK,Rwanda,Uganda,Karagwe,Banyamulenge, wengi wao,hawautesi mwili,na utakuta wanashindia au kulalia maziwa.
Kama kuna yeyote humu anaeelewa neno Igisitura, atasaidia kueleza. Ni aina furani na maziwa,hususani wanyarwanda na waganda hutumia,kwa ajili ya kulegeza mwili na kutengeneza hizo fluids. Hawa watu,maisha yao wanaamini mwanaume ndo mchakalikaji,kazi yao ni kugawa tu mbunye,na kuhakikisha yanatoka. Achana na maisha ya sasa hivi hali imekuwa mbaya,wanaishi kivyovyote.
Zamani,koo hizo walikuwa na mila za kuvuta sehemu za siri za mwanamke, zinatengeneza kama vimikia vya panya,na kazi ikiwa ni kuleta vibe ya tendo husika,na mwenye nayo ikiwa ni rahisi kuachia hayo maji. Enzi hizo,kama miaka 30 na kurudi nyuma,ukiwa huna,lazima ataolewa mke wa 2, na itajulikana hizo fluids huna.
-kwa sasa,wapo ambao hawana hizo,na wamekulia mazingira ya maziwa. Wanayo mengi sana ajabu.
-aina ya vyakula inayoongelewa, mfano wa ndizi huko British, mi napingana nayo. Kuna makundi yao,ndizi huliwa kama kawaida. Na wanayo mengi sana. Na wamekulia mihogo,viazi,maharage,......

Kikawaida,inasemekana kila mwanamke alitakiwa awe nayo. Lakini,kiwango chake,kitakuwezesha kujua mazingira mtu alokulia,akikuweka wazi. Mtu kakulia kwenye kuzunguusha mboga mboga,toka utotoni hadi uzeeni,utayapata wapi? Wakati hata kumgegeda ni kumlia timingi,na yeye hukuachia umalize tu haja zako.

Labda la kuongezea,
Utajiuliza kwa nini inasemekana watu hao niliowataja juu,wanasifika kwa umalaya?! Hasa hao wanywa maziwa, wasomi labda wanajua zaidi,ila inasemekana maziwa mengi muilini huchangia kwa kiasi kikubwa kuamsha nyege kwa wanawake. Kitendo kilichosababisha wengi wao kuzaa na ndugu wa karibu,kwa sababu akizidiwa,anamuwekea yeyote mtego,si baba mkwe wala mashemeji zake. Ikumbukwe kwa hili,kuna wenye pepo au limbukeni.
Pia, kuna ufanisi wa mchakataji. Wazinzi professional wanajua. Siyo vuta sukuma itatoa. Na kujua ni wapi ashikwe,kunachangia. Kuna wengine utasikia analalamika,mara mwanaume hafanyi nini,mara nimewahi kukutana na mwanaume kweli kweli. Achana na misifa ya humu JF kwamba wanapiga bao usiku kucha. Mwanamke ukipiga mpaka usikie harufu ya baruti,hupati hata tone.
Saikologikali,yeye kama amekupa kwa mapenzi,na wewe unafanya kwa mapenzi,98% utapata. Ila,kama ametaka,na wewe unamkomoa,au kama wewe unataka,na yeye amekuuzia, hupati kitu.

Kwa hiyo kwa kifupi,mi naamini kupatikana kwake,hutokana na maandalizi,mfumo wa mwili na akili.

Hata kama hana,ukiweza kumuandalia mazingira ya upatikanaji kwa mda furani, utapata tu.
 
Hili la kusema kwamba hii makitu ni kwa ajili ya watu wa maeneo fulani na si kwingineko nafikri si sahihi sana. Walau nimeshuhudia ikimtokea binti mwenyeji wa Songea na wa Tanga, vile vile nimeona hili kwa Mzungu. Nafikri ni swala la art tu kazini na anyone can get there. Pamoja na hayo kwa maeneo hayo yaliyotajwa hasa BK, Rwanda na Uganda nafikri hili ni janga na most of the women do! You would wonder hotel ya maana Rwanda lakini godoro limewekewa foronya ya leather kama yalivyo baadhi ya magodoro mahospitalini ilimradi tu kuepusha hizo makitu kulowesha godoro. Ukikutana na mtoto wa kinyarwanda you can be sure walau 80% hayo maji utayaoga ukiwa na jitihada lakini, kama hauna nguo ya kubadilisha hifadhi nguo zako mbali vinginevyo zitaoga huo "mkojo mzuri"🙂🙂
Wanawake was songea (wangoni) Ni squirters wazur Sana, nishakutana nao 2 nikiwa Ifakara uko, wote walkua wet ile mbaya😃
 
Back
Top Bottom