Baba Erick
JF-Expert Member
- Aug 24, 2011
- 483
- 75
mnh utakua upumbaaav yaani dada aachie kisa m kupata kazi
Jamani ushauri wenu ni muhimu.,
Ni rafiki yangu ambaye tumemaliza naye chuo, katika kurupukushani za kutafuta kazi amegundua kuwa kuna boss mmoja ambaye alimhaidi dada yake kuwa atamtafutia kazi kijana. Ila kinachomfumbua ni kuwa yule boss anatumia kama kigezo cha kumtaka dada yake, kimapenzi ile hali ameshaolewa! Kijana anaomba ushauri jamani akache au apotezee apate kazi.
Kama ana nia ya kazi ampeleke tu dada ake ile kitu akila boss haondoki nayo inabaki hapo hapo
Kama ana nia ya kazi ampeleke tu dada ake ile kitu akila boss haondoki nayo inabaki hapo hapo
utu wa mtu ni uhimu zaidi huwezi kujidhalilisha kwa ajili ya kazi ...
Kama ana nia ya kazi ampeleke tu dada ake ile kitu akila boss haondoki nayo inabaki hapo hapo