Anauliza kama atakua ameathirika au laa!

Anauliza kama atakua ameathirika au laa!

Abramovic

JF-Expert Member
Joined
Sep 6, 2013
Posts
324
Reaction score
605
Hi members, kuna jamaa yangu wa karibu anaso SAUT, Mwanza alikua na mahusiano na binti mmoja, so jana amefanya mapenzi na binti huyo na alitumia kinga. Ila baada ya masaa kadhaa akagundua kumbe binti aliyelala nae ni muathirika wa virusi ya UKIMWI. So jamaa yangu japo alitumia kinga lkn bado ana wasiwasi sana, Je ni mazingira gani yanaweza kumfanya akawa ameukwaa na endapo itakua hivyo ni njia gani atumia kuhakikisha virusi hivyo havimdhuru, maana ni siku moja tu imepita tangu alipolala nae....MSAADA please!
 
Ukimwi haupitii tu huko alikotumia kinga... vipi kama walikiss na kulambana huko chini.. na kama kuna sehemu aliyoigusa na yeye akiwa na mchubuko wowote ule na damu/fluid zikafanya contact atakuwa nao..

Ila kwa uhakika zaidi akapime
 
Calmdown !

Ikiwa kondom imetumika kwa usahihi
hakuna lolote linaloweza kumpata
Sasa hofu yake ni kwenye nini ikiwa
katumia kondom ?


Zingatia neno Usahihi kwenye matumizi
lakini kama hakuvaa kabisa pia hatakiwi
kuwa na hofu vuta subira miezi 3 ndiyo
unakwenda kupima.

Mtu mwenye ukimwi jua wazi nae anahitaji
mambo yetu haya ila unatakiwa kutumia
Kifanyio(Kondom) kwa usahihi tu.
 
Hi members, kuna jamaa yangu wa karibu anaso SAUT, Mwanza alikua na mahusiano na binti mmoja, so jana amefanya mapenzi na binti huyo na alitumia kinga. Ila baada ya masaa kadhaa akagundua kumbe binti aliyelala nae ni muathirika wa virusi ya UKIMWI. So jamaa yangu japo alitumia kinga lkn bado ana wasiwasi sana, Je ni mazingira gani yanaweza kumfanya akawa ameukwaa na endapo itakua hivyo ni njia gani atumia kuhakikisha virusi hivyo havimdhuru, maana ni siku moja tu imepita tangu alipolala nae....MSAADA please!

mkuu kwani ukusema ni wewe kitaharibika nini...eniweiz usiwe na wasiwasi kama kondom ilitumika...subiri miezi mitatu then ukapime...ila kwa sasa ni vigumu kujua kama umeathirika au la
 
Calmdown !

Ikiwa kondom imetumika kwa usahihi
hakuna lolote linaloweza kumpata
Sasa hofu yake ni kwenye nini ikiwa
katumia kondom ?


Zingatia neno Usahihi kwenye matumizi
lakini kama hakuvaa kabisa pia hatakiwi
kuwa na hofu vuta subira miezi 3 ndiyo
unakwenda kupima.

Mtu mwenye ukimwi jua wazi nae anahitaji
mambo yetu haya ila unatakiwa kutumia
Kifanyio(Kondom) kwa usahihi tu.
uvinza????
jamaa hakuzama chumvini
but wasiwasi wake ni kua,
1: walikulana mate sana
(denda) na 2: jamaa
anadai yule dada alisema
anahisi michubuko baada ya tendo.
 
Ukimwi haupitii tu huko alikotumia kinga... vipi kama walikiss na kulambana huko chini.. na kama kuna sehemu aliyoigusa na yeye akiwa na mchubuko wowote ule na damu/fluid zikafanya contact atakuwa nao..

Ila kwa uhakika zaidi akapime

uvinza????
jamaa hakuzama chumvini
but wasiwasi wake ni kua,
1: walikulana mate sana
(denda) na 2: jamaa
anadai yule dada alisema
anahisi michubuko.
 
Calmdown !

Ikiwa kondom imetumika kwa usahihi
hakuna lolote linaloweza kumpata
Sasa hofu yake ni kwenye nini ikiwa
katumia kondom ?


Zingatia neno Usahihi kwenye matumizi
lakini kama hakuvaa kabisa pia hatakiwi
kuwa na hofu vuta subira miezi 3 ndiyo
unakwenda kupima.

Mtu mwenye ukimwi jua wazi nae anahitaji
mambo yetu haya ila unatakiwa kutumia
Kifanyio(Kondom) kwa usahihi tu.

uvinza????
jamaa hakuzama chumvini
but wasiwasi wake ni kua,
1: walikulana mate sana
(denda) na 2: jamaa
anadai yule dada alisema
anahisi michubuko.
 
You can't eat your cake and have it too.

If you do the crime, prepare to do the time.

Asubiri muda na kupima tu.

Na kama UKIMWI unampa kihoro hivyo, akijikuta hana, dawa ni kuacha habari zote zinazoweza kusababisha UKIMWI.
 
Mkuu bila shaka wew ndo unayeomba ushauri hapa na wala sio rafiki yako, plz jus culm dwn si kila ukiduu wa mwathirika wa UKIMWI basi bas naww utaambukizwa la msingi afta 3months kachek tu.
 
mkuu kwani ukusema ni wewe kitaharibika nini...eniweiz usiwe na wasiwasi kama kondom ilitumika...subiri miezi mitatu then ukapime...ila kwa sasa ni vigumu kujua kama umeathirika au la

Ha ha haaaaa, sio mimi kaka otherwise ningeweka wazi!
 
Jamani ndugu zangu,
jamaa alichokua anataka
kujua ni namna gani
anaweza kuzuia
asiathirike endapo kama
virusi viliingia kwnye
damu yake cz tendo
lenyewe anadai amefanya
jana tu, so ata masaa 24
bado hayajaisha. Actually
alitaka kujua kama kuna
dozi ya dawa ya
kumuepusha na hili janga.
 
huyo dada na yeye muuaji.kuhusu huyo jamaa aende hospitali kubwa ASAP.kuna dawa unapewa za kuzuia maambukizi kama umetembea na mtu alie athirika.ile isipite masaa sijui 24{kuhusu masaa mangapi yasipite nimesahau}na atatumia hizo dozi.huwa ina saidia.ingawa dawa kama hizo hupewa kwa watu waliobakwa,lakini ni bora aende hospitali watamshauri.before is too late.
 
Hi members, kuna jamaa yangu wa karibu anaso SAUT, Mwanza alikua na mahusiano na binti mmoja, so jana amefanya mapenzi na binti huyo na alitumia kinga. Ila baada ya masaa kadhaa akagundua kumbe binti aliyelala nae ni muathirika wa virusi ya UKIMWI. So jamaa yangu japo alitumia kinga lkn bado ana wasiwasi sana, Je ni mazingira gani yanaweza kumfanya akawa ameukwaa na endapo itakua hivyo ni njia gani atumia kuhakikisha virusi hivyo havimdhuru, maana ni siku moja tu imepita tangu alipolala nae....MSAADA please!

Akapime ,haijalishi alitumia kinga au laa kama walifanya maandalizi kwa kukiss,denda n.k ,LAZMA ukapime tena haraka sana.
 
kama alitumia kondom kwa usahihi asiwe na wasiwasi
 
Back
Top Bottom