" Anaupiga mwingi" maana yake nini? Mi ni mgeni hapa CHADEMA

" Anaupiga mwingi" maana yake nini? Mi ni mgeni hapa CHADEMA

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
Nasikia makamanda wakilitumia sana hili neno kwamba Tundu Lisu " anaupiga mwingi" so kama member mgeni wa hapa Ufipa naomba ufafanuzi wa hii kauli ya Anaupiga Mwingi.

Peoples.........!
 
Sa hivi haupigi mwingi tena,amekumbana na timu ngumu ya ITALIA,amekabwa!
 
Nasikia makamanda wakilitumia sana hili neno kwamba Tundu Lisu " anaupiga mwingi" so kama member mgeni wa hapa Ufipa naomba ufafanuzi wa hii kauli ya Anaupiga Mwingi.

Peoples.........!
Kuupiga mwingi ni kuizika legacy ya mwendazake kwa kumjengea sanamu la 420m.
 
Back
Top Bottom