Wildchild
JF-Expert Member
- Aug 29, 2018
- 19,411
- 21,938
Bado tuko nao wafanye wafanyeji tunataka watueleze kikamilifu,uzalendo wanaojaribu kutudanganyia wanao ? Na je dhamira yao kufanya hayo ni ipi na je tukikubaliana nao matokeo tunayotarajia ni yapi? Je wasipo fikia matarajio hayo wanajichagulia adhabu gani?.