Bado tuko nao wafanye wafanyeji tunataka watueleze kikamilifu,uzalendo wanaojaribu kutudanganyia wanao ? Na je dhamira yao kufanya hayo ni ipi na je tukikubaliana nao matokeo tunayotarajia ni yapi? Je wasipo fikia matarajio hayo wanajichagulia adhabu gani?.