Anaupiga Mwingi: Wakulima wa Tanzania sasa ruksa kushindana kwenye Soko la Kenya kwa Fair competition!

Unawajua Wakenya unawasikia? Yaani wawe na chakula cha kutosha waruhusu Watanzania mpeleke mahindi kushindanosha bei?
 
Mbona wananunua vitungu Singida, na mchele Malinyi na wanaenda kuuza South Sudan na nchini Kwao. Sasa kipo kilicho badilika
 
Lakini watanzania tukiona mahindi yanaondoka sana tusishindwe kuzuia ya kwetu kwa ajili ya chakula chetu, tuuze kwa mizania maalum,bila kusababisha price shakes, ndani ya nchi, that is intelegency! And good leadership!
 
Wakenya na wao watafika mahali wataichoka hii serikali yetu inayoyumba kimsimamo, mara wafungue mipaka mara wafunge.....Mkulima aruhusiwe kuuza mazao yake mahali popote mambo ya njaa mtajua wenyewe ninyi msiojua uchungu wa shamba.
 
Kwa hasara ya mkulima sio?
Lakini watanzania tukiona mahindi yanaondoka sana tusishindwe kuzuia ya kwetu kwa ajili ya chakula chetu, tuuze kwa mizania maalum,bila kusababisha price shakes, ndani ya nchi, that is intelegency! And good leadership!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…