Paula kilaki
JF-Expert Member
- Jun 26, 2014
- 1,909
- 1,290
Jana Diamond amenitumia M-Pesa sh. 20,000/= kwa ajili ya kugonga LIKES kwenye page yake ikimuonesha anapiga stori na Youssou N'dour mwaka 2010!!! Yaani jamaa unaambiwa ana pesa wewe... manake anazomwaga kwenye kununua LIKES tu za kutosha hapo hujataja anazonunua kupata views nyingi Youtube, anazonunua tuzo za nje ingawaje pesa ya kununua tuzo za ndani hana; anazowanunua watu kama akina Swizz ili mwanae a-dance Nana... we acha bhana!
😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁