Paula kilaki
JF-Expert Member
- Jun 26, 2014
- 1,909
- 1,290
Jana Diamond amenitumia M-Pesa sh. 20,000/= kwa ajili ya kugonga LIKES kwenye page yake ikimuonesha anapiga stori na Youssou N'dour mwaka 2010!!! Yaani jamaa unaambiwa ana pesa wewe... manake anazomwaga kwenye kununua LIKES tu za kutosha hapo hujataja anazonunua kupata views nyingi Youtube, anazonunua tuzo za nje ingawaje pesa ya kununua tuzo za ndani hana; anazowanunua watu kama akina Swizz ili mwanae a-dance Nana... we acha bhana!
Miezi kadhaa iliyopita walikuwa wana nyimbo za Diamond kuishi nyumba ya kupanga matokeo yake hivi sasa wanalazimika kuficha tupu zao kwa viganja vya mkono kila wanapopita!utannua tuzo ngapi mdau?
utawezaje kuhonga kila pahala?
tumia ubongo kufikiri, masaburi unayaonea
Vp best, we hujapata? Au hujaenda kugonga Like?Hahahahaaa umenichekesha!!!
Mi naweza nisiwe mshabiki wa mwanamuziki fulani au fulani, lakini kama anafanya vizuri lazima nimpe sifa zake....Watu wanaendekeza ushabiki tu.Miezi kadhaa iliyopita walikuwa wana nyimbo za Diamond kuishi nyumba ya kupanga matokeo yake hivi sasa wanalazimika kuficha tupu zao kwa viganja vya mkono kila wanapopita!