Anaweza kupata chuo gani kwa matokeo haya?

abdulh iddy

Senior Member
Joined
May 28, 2015
Posts
159
Reaction score
6
Habari wana JF kuna dogo langu kamaliza mwaka jana na matokeo yake yakaja, hivi ana credit 2 alafu ana e mbili. Msaada wa kimawazo anaweza pata chuo gani ambacho kinatoa ajira kwa haraka kwa matokeo hayo.

Ahsanteni
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…