Cherrylicious
Member
- Dec 1, 2010
- 37
- 2
Wadau
Mtoto amemaliza form four mwaka jana na kupata ufaulu huu.Je ni kozi gani anaweza kufanya kwa sababu hataki kwenda form 5, anataka aanze chuo na ngazi ya astashahada
Civics C
History C
Geography C
Kiswahili C
English B+
Literature D
Biology B
Mathematics E
Asanteni
Mtoto amemaliza form four mwaka jana na kupata ufaulu huu.Je ni kozi gani anaweza kufanya kwa sababu hataki kwenda form 5, anataka aanze chuo na ngazi ya astashahada
Civics C
History C
Geography C
Kiswahili C
English B+
Literature D
Biology B
Mathematics E
Asanteni