anaweza kuwa daktar

anaweza kuwa daktar

structuralist

JF-Expert Member
Joined
Oct 13, 2012
Posts
1,230
Reaction score
907
wadau kuna dogo(msichana)ana ndoto za kuwa daktari na matokeo yake sio mazuri sana kwani amepata Phy-F, Chem-E, Bioz- D, Gs-F na Bam-F. Je kwa matokeo hayo anaweza pata course ya udaktari hata kwa njia ya pre-entry program? Na kama kuna vyuo hivo ni vip na gharama zake zikoje wadau?
 
mwambie dogo apge dip clinical officer kama bdo ana utaka udaktari,bt kuna course nzur za afya na znalpa lyk medical lab,medical radiography na dip za pharmacy,env health,dental techn kwa matokeo yake ni kugusa tu.,
 
mwambie dogo apge dip clinical officer kama bdo ana utaka udaktari,bt kuna course nzur za afya na znalpa lyk medical lab,medical radiography na dip za pharmacy,env health,dental techn kwa matokeo yake ni kugusa tu.,

Thx boc, sasa vip vyuo gani vinatambulika kwenye hiyo clinical ofsa? dogo yupo moshi. Je hizo coz zingine anaweza fanya shahada au nazenyewe lazima aende dip kwanza?
 
co afanye sengerema cotc n private,med lab,radiography,pharmacy aanze na dip then itakua rahc kwake kusma shahada..vyuo n muhas,cuhas,
 
jaman naomben mnishaur nimepata div 4 points 26
PHY D
CHEM C
MATH D
BIO C
KISW D
ENGL D
CVCS D
GEOG D
HIST D
Je niombe chuo gani cha serekar ambacho naweza kupata coz nimetoka shule za kata na uwezo wa kusoma chuo private cna but napata hofu kama nitapata chuo coz nackia kuna kujuana xna huko kwenye selection naomba munisaidie waungwana...
 
Thx boc, sasa vip vyuo gani vinatambulika kwenye hiyo clinical ofsa? dogo yupo moshi. Je hizo coz zingine anaweza fanya shahada au nazenyewe lazima aende dip kwanza?

Mkuu jal mda maisha ni mafup sana...kwanin apitie njia ndef kias icho...kwan requerments za tcu ni zipi!? Mbona ana principal mbili jaman...kama form 4 alipiga frsh yanini aangaike..mwambie aombe tcu...bugando..imtu..udom n.k hawez kosa mkuu..mda haumngoj mtu ati!!
 
Dogo apply vyuo vlovyo chni ya wizara ya afya.matokeo yako utapata,dip in nursing n nzuri,ada lak 6 kwa mwka.
 
Dogo apply vyuo vlovyo chni ya wizara ya afya.matokeo yako utapata,dip in nursing n nzuri,ada lak 6 kwa mwka.


Je unaweza kulipa ada kwa awamu na je jins ya uombaji na hakuna kujuana kwel nitapata?
 
unaweza lpia kwa awamu mbil per year,kujuana popote lpo bt uwez jua nafac yako ikoje kwa hayo.
 
unaweza lpia kwa awamu mbil per year,kujuana popote lpo bt uwez jua nafac yako ikoje kwa hayo.

THNS BRO but nakumbuka 2lija tcm9 shule je vp hazitofanyiwa kaz na je 2lishaombaga je wizara itatoa nafac 2ombe tena? plz naomba unijuze
 
THNS BRO but nakumbuka 2lija tcm9 shule je vp hazitofanyiwa kaz na je 2lishaombaga je wizara itatoa nafac 2ombe tena? plz naomba unijuze

ebu jifunze kuandika vizuri we kijana.
 
Dogo apply vyuo vlovyo chni ya wizara ya afya.matokeo yako utapata,dip in nursing n nzuri,ada lak 6 kwa mwka.
vyuo vilivyo chini ya wizara ya Afya Muda wa application ushapita. deadline ilikua tarehe 30 April. Na Kule ushindani ni mkubwa sana hasa kwa miaka hii maana hata vyuo vyenyewe ni vichache sana. Mfano kanda ya kusini Iringa, Njombe, Ruvuma,Mbeya na Rukwa kuna Chuo Kimoja tu cha Clinical Officer na kwa mwaka kinachukua wanafunzi 50
 
vyuo vilivyo chini ya wizara ya Afya Muda wa application ushapita. deadline ilikua tarehe 30 April. Na Kule ushindani ni mkubwa sana hasa kwa miaka hii maana hata vyuo vyenyewe ni vichache sana. Mfano kanda ya kusini Iringa, Njombe, Ruvuma,Mbeya na Rukwa kuna Chuo Kimoja tu cha Clinical Officer na kwa mwaka kinachukua wanafunzi 50

Unanishaur vp bro..
 
Unanishaur vp bro..
Apige vyuo vya private Kama pale sengerema kuna Chuo cha Clinical Officer, akienda Ruaha University (RUCO) pana diploma ya pharmacy na Laboratory. Nimeipenda sana career ya dogo mwambie asibabaike abaki Huku Huku kwenye Afya maana ajira zake hazina longo longo hata mishahara yao si mibaya na pia atakuja kulihudumia Taifa na Wananchi
 
Apige vyuo vya private Kama pale sengerema kuna Chuo cha Clinical Officer, akienda Ruaha University (RUCO) pana diploma ya pharmacy na Laboratory. Nimeipenda sana career ya dogo mwambie asibabaike abaki Huku Huku kwenye Afya maana ajira zake hazina longo longo hata mishahara yao si mibaya na pia atakuja kulihudumia Taifa na Wananchi

Nashukuru kwa ushauri wenu but private ada shiling ngap per year?
 
Na mimi niliyepata 4 ya 27, nna D ya chem,engl,maths na C ya bioz naweza pata kutoka serikalini?
 
Back
Top Bottom