EEimen!mapepo tu hayo.
hahahahaaaaaaaa
nimefurahi sana kwa mcango huu.
ni moja ya kanuni muhimu sana, palilia sifa zako hadi mwisho.
kuna watu wanabadilika mfano baada ya kuolewa au kuoa wanaonyesha tabia nyingine kwa wenzi wao na hawaonyeshi kunyenyekea tena kama mwanzo. matokeo yake ndoa zinaanza kuchacha, muhimu sana tusikunjue makucha baada ya mambo kutuendea vizuri.
unawza kurejea kisa cha nani wa kwanza kujulishwa mtoto anapozaliwa uona mojawapo ya matokeo ya kurefusha makucha ndani ya ndoa
nikuhakikishie mzee PJ wote ni waafrika. wanishi dar mmoja kinondoni na mwingine kijitonyama
katika mazungumzo yetu na wote wawili niligundua mengi sana katika maisha yao wote wawili yaliyoathiri saikolojia zao. huko kuwachukia wanaume kulitokana na sababu nyingine nje ya mapepo kama walivyochangia wengine hapa jamvini. moja ya sbabu ilitokana na kuwa alianza mapenzi katika umri mdogo sana, misukosuko aliyoipata ndani na nje ya familia yake ilipelekea kuamua "kustaafu" masuala ya mapenzi alipofikisha umri wa miaka 23 tu!
hadi anakutana na huyo mpenzi wake alikuwa na umri wa miaka 32 (mpenzi wake akiwa na miaka 33) yaani takribani miaka 9 ma maisha ya ustaafu, tena bila penseni!
Nimeshangaa maana nilidhani huyo mdada ana miaka 50!
Sasa huyo kaka anajibaraguza nini kama mdada anampenda kiasi hiki?...Atakuja kujuta zama hizi za usanii wa mapenzi.
ni hivi muu, wakati wanakutana kwa mara ya kwanza mwanume alikuwa 33 mwanke 32, hadi wananiletea kisa hiki ni miaka takriban mitano wako katika uhusiano kwa hiyo mwanaume alikuwa 38, mwanamke 37.
nafikiri sasa nimeeleweka vizuri
ni hivi muu, wakati wanakutana kwa mara ya kwanza mwanume alikuwa 33 mwanke 32, hadi wananiletea kisa hiki ni miaka takriban mitano wako katika uhusiano kwa hiyo mwanaume alikuwa 38, mwanamke 37.
nafikiri sasa nimeeleweka vizuri
kwa huyu wa sasa ndio mapenzi ya dhati au ndo anakimbizana na muda maana age haimsuburi, age nzuri ya kuzaa ni under 35!alipenda mwenyewe, shida ila wenzie walikuwa wamemzidi umri na wazoefu zaidi
kwa huyu wa sasa ndio mapenzi ya dhati au ndo anakimbizana na muda maana age haimsuburi, age nzuri ya kuzaa ni under 35!
Hawa wote wana matatizo. Mwanamke ana matatizo ya kisaikolojia ambayo yanatokana na historia yake ya nyuma. Kwa hiyo itakuwa vizuri akapata msaada zaidi toka kwa watalaamu. Vinginevyo atakuja kuwa kichaa kama huyu mwanamume wa sasa atamfanyia kitu ambacho hakukitarajia wakati wanaendelea na uhusiano wao.
Huyo mwanamume pia ana matatizo. Kama alihitaji kuoa mwanamke mwingine, kwa nini alikaa na huyu muda wote huo? Na hadi anakutana na huyu (akiwa na miaka 33) hakuwa ameshaamua ni mwanamke wa aina gani anamtaka? Mshauri akubali alichokipata badala ya kuhangaika kutafuta anachokitamani wakati hata hajui kama atakipata.
Kwamba comments ziliishia page mbili au?Hii ndo JF yazamani hii
Haya wapendwa nawaletea kisa kingine.
Kuna mwanamke mmoja mtu mzima, alinifuata nimsaidie kumshauri mpenzi wake aliyenaye angalau akubali kuzaa nae hasa baada ya kukataa kumwoa! Alisema kwa uchungu huku machozi yakimtoka.
Katika mazungumzo yetu, ilibainika kuwa yule mwanamke anawachukia wanaume wote hapa duniani isipokuwa huyo mmoja tu! Na hadi anakutana nae huyo pekee anayempenda alikuwa alikuwa kishakaa karibu muongo mzima bila mwanume na alishaamini kuwa hatahitaji mwanaume hadi mwiso wa maisha yake.
Kuhusu alivyotokea kupendana na huyu mwanaaume, alisema alimsikia siku moja akiongelea vizuri masuala ya malezi ya watoto, akampenda hadi leo! Hana sababu nyingine.
Alimshauri amuoe akakataa, alimshauri wazae mtoto, akakataa. Akaona kila dalili za kurudia maisha yale ya upweke ziko wazi, akajaribu kuzizuia zisifike,
alikuja kwangu nimsaidie, nashukuru, sasa ana ujauzito wa huyo bwana na ana furaha sana, na mpenzi wake ana furaha na amani.
Hii ndo JF yazamani hii
Sasa wewe ulikuwa unatafuta nini huku mwitongo (kwenye mahame)???
<br />Haya wapendwa nawaletea kisa kingine. <br />
<br />
Kuna mwanamke mmoja mtu mzima, alinifuata nimsaidie kumshauri mpenzi wake aliyenaye angalau akubali kuzaa nae hasa baada ya kukataa kumwoa! Alisema kwa uchungu huku machozi yakimtoka.<br />
<br />
Katika mazungumzo yetu, ilibainika kuwa yule mwanamke anawachukia wanaume wote hapa duniani isipokuwa huyo mmoja tu! Na hadi anakutana nae huyo pekee anayempenda alikuwa alikuwa kishakaa karibu muongo mzima bila mwanume na alishaamini kuwa hatahitaji mwanaume hadi mwiso wa maisha yake. <br />
<br />
Kuhusu alivyotokea kupendana na huyu mwanaaume, alisema alimsikia siku moja akiongelea vizuri masuala ya malezi ya watoto, akampenda hadi leo! Hana sababu nyingine.<br />
<br />
Alimshauri amuoe akakataa, alimshauri wazae mtoto, akakataa. Akaona kila dalili za kurudia maisha yale ya upweke ziko wazi, akajaribu kuzizuia zisifike, <br />
<br />
alikuja kwangu nimsaidie, nashukuru, sasa ana ujauzito wa huyo bwana na ana furaha sana, na mpenzi wake ana furaha na amani.