Anaweza kuzaa na mwanamume mmoja tu hapa duniani!!!


Tatizo unafurahiiiiiiiiii, afu unacheeeeeeeeka matokeo yake unasahau kale kabatani ka SENKSI! Afu unategemea kura yangu ili upate ubunge....... Hahaha! Hujachelewa kagonge basi!
 

Nimeshangaa maana nilidhani huyo mdada ana miaka 50!
Sasa huyo kaka anajibaraguza nini kama mdada anampenda kiasi hiki?...Atakuja kujuta zama hizi za usanii wa mapenzi.
 
Nimeshangaa maana nilidhani huyo mdada ana miaka 50!
Sasa huyo kaka anajibaraguza nini kama mdada anampenda kiasi hiki?...Atakuja kujuta zama hizi za usanii wa mapenzi.

ni hivi muu, wakati wanakutana kwa mara ya kwanza mwanume alikuwa 33 mwanke 32, hadi wananiletea kisa hiki ni miaka takriban mitano wako katika uhusiano kwa hiyo mwanaume alikuwa 38, mwanamke 37.

nafikiri sasa nimeeleweka vizuri
 
ni hivi muu, wakati wanakutana kwa mara ya kwanza mwanume alikuwa 33 mwanke 32, hadi wananiletea kisa hiki ni miaka takriban mitano wako katika uhusiano kwa hiyo mwanaume alikuwa 38, mwanamke 37.

nafikiri sasa nimeeleweka vizuri

asante kwa ufafanuzi..bado hoja yangu iko palepale!
Mwambie huyo kaka aache kujivunga..atakuja kujuta when it is too late.
 
ni hivi muu, wakati wanakutana kwa mara ya kwanza mwanume alikuwa 33 mwanke 32, hadi wananiletea kisa hiki ni miaka takriban mitano wako katika uhusiano kwa hiyo mwanaume alikuwa 38, mwanamke 37.

nafikiri sasa nimeeleweka vizuri


Mkuu hii ni hadithi nzuri na kuna mambo mengi ya kujifunza. Wanawake wanaelewa vizuri mambo ya maisha kuliko wanaume linapokuja suala la kuzaa watoto. Ndiyo maana ni kawaida sana kusikia mwanamke analaani kwamba kachezewa (endapo uhusiano aliokuwa nao hakuenda kama alivyotarajia).

Hawa wote wana matatizo. Mwanamke ana matatizo ya kisaikolojia ambayo yanatokana na historia yake ya nyuma. Kwa hiyo itakuwa vizuri akapata msaada zaidi toka kwa watalaamu. Vinginevyo atakuja kuwa kichaa kama huyu mwanamume wa sasa atamfanyia kitu ambacho hakukitarajia wakati wanaendelea na uhusiano wao.

Huyo mwanamume pia ana matatizo. Kama alihitaji kuoa mwanamke mwingine, kwa nini alikaa na huyu muda wote huo? Na hadi anakutana na huyu (akiwa na miaka 33) hakuwa ameshaamua ni mwanamke wa aina gani anamtaka? Mshauri akubali alichokipata badala ya kuhangaika kutafuta anachokitamani wakati hata hajui kama atakipata.
 
alipenda mwenyewe, shida ila wenzie walikuwa wamemzidi umri na wazoefu zaidi
kwa huyu wa sasa ndio mapenzi ya dhati au ndo anakimbizana na muda maana age haimsuburi, age nzuri ya kuzaa ni under 35!
 
kwa huyu wa sasa ndio mapenzi ya dhati au ndo anakimbizana na muda maana age haimsuburi, age nzuri ya kuzaa ni under 35!

sifikiri kama anakimbizana na age, kamaingekuwa hivyo si angezaa na mwingine yoyote, kwani lazima amlilie huyu kama yeye hamtaki?

nafikiri ametokea kupenda tu kutokana na kuvutiwa na lifestyle yake, kumbuka wana miaka takriban mitano kwenye mapenzi na wote wanakiri mapenzi yamekuwa mazuri sana kwa muda wote huo
 

ni kweli, mkuu

wote wawiili wanapata psychological training, na wanaendelea vizuri
 

tabia ya huyu dada nimeipenda, amenikumbusha kisa cha Abigail na mumewe Nabali!

Mungu ni mkuu sana
 
Mbunge wa CCM kwanza naunga mkono hoja kwa asilimia mia moja. Mimi nadhani huyu mwanamama anatafuta mtambo wa kumzalishia watoto na kulea tu basi. Sidhani kama kuna mapenzi hapa.
 
<br />
<br />
adsisi inayokujja ni ya sungulla sikia, adsisi uliyongoja leo tumekuletea. Nimeandsika ki dsarasa la tatu B ili kuongewza mashiko
 
najionea sinema ya kihindi tu hapa. huwezi funga milango kwa kuwa umefungiwa mlango sehemu fulani...hiyo nayo ni abuse ya maumbile yako. tumeambiwa tuhangaike kutafuta maisha. kama maisha ulipotarajia hayakubali, kwa nini usijaribu kwingineko? labda kama una matumaini yenye ishara ya mafanikio
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…