Anaweza pata shule nzuri kwa matokeo haya?

Ndondocha mkuu

JF-Expert Member
Joined
Feb 17, 2014
Posts
2,490
Reaction score
2,965
Et wana jf kuna kijana amepata div 3 ya 25 na katka komb lake la kwanza alilochagua yan egm ana c ya geograph na b+ ya math je anaweza pata shule nzur ya a-level?
 
muulize shule zake alizo jaza kisha utuwekee hapa sio unauliza kirahisi namna hivyo!
.
.
.********************
 
Et wana jf kuna kijana amepata div 3 ya 25 na katka komb lake la kwanza alilochagua yan egm ana c ya geograph na b+ ya math je anaweza pata shule nzur ya a-level?

a level atapata but sio lazima iwe kati ya zile alizochagua...!over
 
Et wana jf kuna kijana amepata div 3 ya 25 na katka komb lake la kwanza alilochagua yan egm ana c ya geograph na b+ ya math je anaweza pata shule nzur ya a-level?

First of all hakuna shule nzuri tanzania inayochukua kombi ya EGM zote mbovu tu kombi zilizo kwenye shule nzuri ni HGL,ECA,PCB,PCM,CBA ,CBG,ambazo ni zile za vipaji maalumu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…