Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Woi
Kidume cha shoka hakijui njia za kuwa mtu wa watu
Ni wa kiume kwani?ajiunge kwenye mashindano ya mr.chuo kama yapo
Si ndio hadi awe hendsamuajiunge kwenye mashindano ya mr.chuo kama yapo
Japo haileweshiHii kali
umeshindikana🤣Si ndio hadi awe hendsamu
Kichwani zimo?umeshindikana🤣
au aingie serikali ya wanafunzi
1.Kwa kozi atakayochaguliwa ajitahidi awe mzuri sana sio kwenye mitihani tu lakini tu hata kiutendaji mfano kupresent kazi za darasani na kama kozi zina practical awe mzuri zaidi na huko.Amemaliza 4m4 hakuchagua kwenda advave bali chuo so bado anasubiri selection
Aisee huwezi kua rafiki na kila mtu hicho kitu haliwezekani daimaAnataka kuwa mtu wa watu
Mkuu huelewi hata maana ya huo msemo ngoja nikusaidie,, hiyo falsafa inamaanisha kwamba kiongozi anaye fuata sheria lazima atachukiwa na watu wengi, that means kiongozi hawezi akapendwa na kila mtu hata raisi wa nchi akifuata sheria lazima watu watamchukua, ""umeona sasa kaka yake nilivyo na akili bado dogo langu anayetafuta connection ni nondo balaa😂😂😂Akitaka kuwa rafiki wa kila ntu na kupendwa auze barafu.View attachment 2920558
Kwa kifupi hawezi kuwa rafiki wa kila mtu .Mkuu huelewi hata maana ya huo msemo ngoja nikusaidie,, hiyo falsafa inamaanisha kwamba kiongozi anaye fuata sheria lazima atachukiwa na watu wengi, that means kiongozi hawezi akapendwa na kila mtu hata raisi wa nchi akifuata sheria lazima watu watamchukua, ""umeona sasa kaka yake nilivyo na akili bado dogo langu anayetafuta connection ni nondo balaa😂😂😂
Mkuu, sema ni wewe mwenyewe nd'o una mpango wa kwenda kutafuta kiki chuoni, sio mdogo wako.Wandugu kuna mdogo wangu ambaye amehitimu kidato cha nne mwaka jana na wakati wa kujaza selform, alichagua kwenda chuo, sasa alikuwa anauliza ni kwa namna gani anaweza akapata connection hapo chuoni, na ni kwanamna gani anaweza kutengeneza marafiki wengi awapo chuoni, ikibidi hata chuo kizima awe na urafiki na kila mtu ili kuwe na wepesi kupata connection kwenye maswala ya kimaisha,
Nawasilisha