beefinjector
JF-Expert Member
- Jul 23, 2009
- 2,458
- 2,496
Naona damu ya Tupac ilikuwa inampa shida huyu jamaa. Yaani alikuwa anaelezea uhalifu alioshiriki kwenye TV. LVPD wasingeeleweka kama wangebaki kimya.Hata kwenye kitabu chake kafunguka
Nahisi karma inamhusu
Ova
Nah, that's BS. We all saw what happened at MGM and we all know who got jumped by Pac and his entourage. That was expected.2pac was killed by the system
Huyu aliamua kujitaja mwenyewe, pia hakuua yeye bali alipanga mipango na kutoa bunduki iliyotumika, all in all nahisi jamaa anatafuta kiki za kishambaHiyo ndio Marekani. Hata miaka 50 watakudaka tu
Wanadhani "statute of limitation" itawasaidiaJamaa wanajimaliza wenyewe
Utakuta lijitu linahojiwa linafunguka
Matukio aliyofanya
Ova
Alisha dead tar 17 mbaya wakeSisi mpaka Sasa hatujui aliyetaka kumuu Lissu.