beefinjector
JF-Expert Member
- Jul 23, 2009
- 2,458
- 2,496
Naona damu ya Tupac ilikuwa inampa shida huyu jamaa. Yaani alikuwa anaelezea uhalifu alioshiriki kwenye TV. LVPD wasingeeleweka kama wangebaki kimya.Hata kwenye kitabu chake kafunguka
Nahisi karma inamhusu
Ova