4by94
JF-Expert Member
- Oct 1, 2019
- 9,214
- 8,306
ila wanaokufa ukraine ni haki yao ?EU kimekuwa kichwa cha mwendawazimu sasa mpenzi wake anahusika vipi na maamuzi ya nchi anayoyatoa putin..! Tena yasemekana!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ila wanaokufa ukraine ni haki yao ?EU kimekuwa kichwa cha mwendawazimu sasa mpenzi wake anahusika vipi na maamuzi ya nchi anayoyatoa putin..! Tena yasemekana!
hata hawa teamPutin ukiwapa ofa hapa , akili zipo newyork city na sio Moscow... mpenzi wa Putin anaishi Switzerland badala ya Moscow au Pyongyang. Kim utotoni alikulia na kusomea Switzerland badala ya Pyongyang, Moscow, au Tehran. Makomunisti yanachekesha sana.
hahahaaaPutin anapita pita na watu wa barabarani
hahahaaaaSi tulikubalina huyu jamaa Putin jogoo hapandi mtungi na pia ana zaga moja badala ya mawili
hahahaaaWanamuonea wivu mchizi kwa kupata kidosho chenye tako la kichaga [emoji7]
hahahaaaSasa Putin na Uzee wake wa Miaka 70 bado anampenzi huku Wakati Hana hata Mke. Hii ikoje jamani? Au jamaa Ni Gay Nini? Yale Mambo ya LBGTQ? Wajuvi leteni Ufafanuzi.
Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile app
duh mkuu hii sio fbWw uliekua si mkomunist umelisaidia nini taifa lako badala ya kutujazia mavi mengi katika ardhi yetu pendwa??
mkuu umekosea hii sio fbMashoga utawajua tu, wameona Putin hakubali hizo habari wanaumia sana
cheap labourMbona haushangai Biden na familia yake kuwekeza matrilion ya pesa china , na mengine urusi pia mbona haushangai Elon musk kufungua kiwanda cha magari ya umeme Shanghai china badala ya u.s.a mbona haushangai i.phone kuwa assembled china mbona haushangai takribani 40% ya viwanda vya u.s.a na ulaya vipo china na Vietnam ambayo ni mataifa ya kikomunisti amabao wewe unawaita washenzi Ila wamarekani na ulaya hawajawaona washenzi ndio maana wanasain mikataba ya construction pamoja na ushirikiano wa kibiashara na hao hao wakomunisti
#Think before you judge [emoji848][emoji16]
Tatizo hujaelewa. Hawajasema demu wa Putin atazuiwa kutoa huduma kwa mzee.Kuna mwaka wa uchaguzi wa Kenya ambao ulisababisha Raila na Uhuru wagombane kiasi kwamba yakazuka machafuko. Wote wawili, Raila na Uhuru, wakagoma kukaa meza ya makubaliano machafuko yakawa yanaendelea.
Wanawake wa Kenya kwa umoja wao wakaamua ya kwamba hawatosex na mwanaume yeyote humo Kenya mpaka Raila na Uhuru wakae mezani wayamalize. Za chini chini zinadai kwamba huu mgomo uliasisiwa na First Lady, hata wanawake wanaojiuza kwenye yale madanguro yao maarufu ya SJ and the like wakawa wanalipwa per day ili wasijiuze.
Hata miezi miwili haikuisha Uhuru na Raila wakakaa chini wakamaliza ishu zao na mambo yakarudi kama zamani.
Nimekupa mfano huu ili upate picha ni kwanini hata mpenzi anawekewa vikwazo. Basically, yeyote anayeweza kukupressure kufanya maamuzi au unayeweza kumtumia kukupa ahueni ya vikwazo na yeye atawekewa vikwazo.
Wewe sasa ndiyo haujanielewa.Tatizo hujaelewa. Hawajasema demu wa Putin atazuiwa kutoa huduma kwa mzee.
Putin hadindishi wewe,ndio maana Hana historia hata ya kukamatwa ugoni. Usishangae Yule ANDUNJE Ni Shoga Ohooo.Wewe sasa ndiyo haujanielewa.
Huyo vikwazo vikiiva hashindwi kumnyima K Mzee Putin
hahahahaaaaPutin hadindishi wewe,ndio maana Hana historia hata ya kukamatwa ugoni. Usishangae Yule ANDUNJE Ni Shoga Ohooo.
Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile app