Anayefahamu kanisa zuri lenye sifa zifuatazo, anijulishe nijiunge tafadhali

Mmmh siku hizi kuna ministry nyingi na kila MTU anajiita yeye ni assemblies o Pentecostal..so watu wanapiga pesa kupitiaa tiketi ya ulokole but for me TAG is the best one[emoji5][emoji5]
 
Asante
 
Anzisha kanisa lako uliendeshe unavyoona inafaa. Acha kuwapangia watu imani
 
Hivi ulishaacha kusali kwa D. Maboya!!???
 
Mkuu; Kwa nini unahangaika? Mbona Hilo kanisa unalo tayari na liko hapo nyumbani kwako unapoishi?. i.e FAMILIA YAKO ndo kanisa la msingi (Baba, Mama na Watoto). Nje ya hapo mjomba utakutana na makwazo mengi e.g. Fungu la kumi, Malimbuko, Toa ndugu, Bahasha ya Maendeleo n.k. n.k.
Kanisa Hili ni Kanisa ambalo Makanisa yote unayoyajua na usiyoyajua yanatokea hapo. Ni Kanisa linalonyumbulika(Flexible). Kumbuka Hata Mitume wote maarufu (Yesu Kristo, Mohamad S.a.W n.k.) walitokea katika kanisa hilo. Taasisi hiyo ni ww tu ndo utakayeifanya iwe kama utakavyo. Nje ya hapo Taasisi yako hiyo ina uhuru wa kupokea au kukataa(Kutupilia mbali) ushauri na maoni au mapendekezo kutoka Taasisi/Makanisa mengine wakiwemo na watu Ndg, Jamaa, Marafiki n.k.- Full Stop. Zingatia kwamba hii ndo Taasisi ya Ki-Msingi aliyoiunda Muumba wetu(Mola wetu) kwa maana ya Adam,Eva/Hawa na Watoto wao Kaini na Habili.
Nakubali/Nakaribisha kusahihishwa au kukosolewa.
 
Asante kwa mawazo chanya
 
Kanisa la nini? Tumia akili yako katika imani. Imani yako ipo moyoni mwako, mtafute Mungu wa kweli, dini ni magumashi tu! Basi nenda ukatoe sehemu ya kumi ukashibishe matumbo ya wajanja.
 
Kwani wataka kulinunua? Si uanzishe lako tu Mkuu?
 
Kipindi nipo advance kuna haya makanisa mawili niliyaelewa vyema (kwa upande wangu )maana waumini wake nilivyokuwa nawaona wapo vyema sana

1. Reformers SDA
2. Full gospel🙂
Hata hawa wako poa sema mafundsho yao meng muda mwingi ni ya ku-critisice dini wengne badala ya kufundshana neno la Mungu binafsi
 
Mkuu karibu sana pale Jesus derivarance church linapatikana mabibo mwisho liko nyuma ya reli inayoelekea tabata ya train za mwakyembe, jaribu kuhudhuria ibada mojawapo jumapili moja, utakuja kunipa mrejesho
hamna kitu huko..huko hamna tofaut na kwa Gwaj
Wanadai wanafufua watu huku kaahndwa kumfufua pot mwenzake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…