Patra31
JF-Expert Member
- Apr 24, 2020
- 6,918
- 13,885
Hivi umeelewa kweli hili fungu vizuri ama umenukuu tu ?Wakristo wa kwanza walimheshimu na walimshirikisha katika sala na mafungo yao.Kwanini na sisi tusimshirikishe na kumheshimu!
Matendo 1:14
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivi umeelewa kweli hili fungu vizuri ama umenukuu tu ?Wakristo wa kwanza walimheshimu na walimshirikisha katika sala na mafungo yao.Kwanini na sisi tusimshirikishe na kumheshimu!
Matendo 1:14
Wakati wa huduma ya Yesu,Yakobo na ndugu zake"walikuwa hawamwamini"ndugu yao mkubwa.(Yohana7:5 na Marko3:12).Ukisoma Mathayo13:54,55 utaelewa kuwa Yakobo alikuwa mdogo wa Yesu.Mkuu wewe mwenyewe unataka uonyeshwe vifungu vya biblia ili uamini sasa na wewe unakuja na imani zako ambazo hazipo kwenye Biblia! Wapi kwenye Biblia imesema wadogo zake Yesu hawakumwamini? Mnajifanya kufuata Biblia 100% kwa mambo ambayo yanaenda kinyume na imani yenu ila mnakuwa wa kwanza kujiaminisha mambo ambayo hayapo kwenye Biblia kufavour imani yenu [emoji1787][emoji1787][emoji119]. Walau mimi nimekupa vifungu vyote vya heshima anayostahili kupewa Bikira Maria.
Unaposema hatuwezi kumuomba Yesu kupitia Maria, Unajua walipokuwa kwenye harusi ya Kana walipoishiwa Divai walimfuata nani ili awaombee kwa Yesu?
Anzisha lakpKusali ni muhimu, lakini baadhi ya tabia na sheria za baadhi ya makanisa yanachangia sana kuvunja moyo watu kuabudu.
Naomba mwenye kujua kanisa lolote lenye sifa zifuatazo ili nijiunge;
Yoyote anayefahamu kanisa lenye hizo sifa anifahamishe!! Natafuta kanisa la kujiunga!
- Liwe ni kanisa la kikristu
- Liwe na mfumo wa kitaasisi (yaani management iwe kimfumo wa kitaasisi)
- Liwe linapatikana angalau kila wilaya/mkoa
- Misingi ya waumini wake iwe ni ile ya teamwork (umoja bila kubagua masikini au tajiri hususani wakati wa matatizo ya mmoja mmoja)
- Liwe ni kanisa lisilotegemea uwepo wa mchungaji/kiongozi mmoja
- Liwe ni kanisa lenye ratiba maalum ya kuzingatiwa (standards)
- Liwe ni kanisa linalojali malezi ya watoto kiroho
- Liwe ni kanisa la watu wenye akili timamu.
- Liwe ni kanisa lenye kupenda haki, usawa na uwazi
- Liwe ni kanisa linaloponya, kukuza na kujenga imani kwa waumini wachanga n.k
Starehe ya pombe ni burudani, kusahau shida kwa mda, uzinzi na ni chanzo kikuu cha kudangaKwahiyo kulewa ndio dhambi?! Hivi kuna anaekunywa pombe halewi?! Au starehe ya pombe ni ipi?!
Imani naipataje pasipo ushirikaAchana na makanisa, wewe angalia tu imani yako moyoni.
Kanisa la kristo ..Kuna kanisa wanaita church of Christ. Litafute utanishukuru.
Unajuaje Kama utakufa kifo gani? Usiahidiane na kifo.Air Malyasia ilipotea na abiria wote Hakuna aliyebahatikwa kusikwaKanisa Catholic nalipenda ndo litanizika kwakweli
Why?What happened Bro !!??