Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ooooh kumbe!!Hicho ni chakula chake ameshakikusanya na kukihifadhi vema hapo anatembea nacho
Huyo mdudu anaitwa sukuma maviOoooh kumbe!!
AKA sukuma gang [emoji16]Huyo mdudu anaitwa sukuma mavi
Oh, kumbe. Ahsante sanaHicho ni chakula chake ameshakikusanya na kukihifadhi vema hapo anatembea nacho
Yaani anatembeaaa akijisikia njaa anamega kidogo na kuendelea na safari?Hicho ni chakula chake ameshakikusanya na kukihifadhi vema hapo anatembea nacho
Shee hii sio umetunga kweli😂😂😂Huyo mdudu anaitwa sukuma mavi
Hapana hiyo ni hakiba lakini kwa bahati mbaya huwa haifaidi kwakuwa huishia kupata ajali mbali mbali kamaYaani anatembeaaa akijisikia njaa anamega kidogo na kuendelea na safari?
Ni kweli shee sisi machungani tuliwaita hivyo [emoji23]Shee hii sio umetunga kweli[emoji23][emoji23][emoji23]
Siku hizi siwaoni nchini, bora wamehama nchi hiiMabibi na mabwana, nazungumzia mzigo huu hapa! Pia naomba nijue kama huyu mwenye mzigo anaona au kujua anakoelekea.
View attachment 2527261
Ahsanteni.
Asili inapotea kwa kasi kubwaSiku hizi siwaoni nchini, bora wamehama nchi hii
Ghala hiyoMabibi na mabwana, nazungumzia mzigo huu hapa! Pia naomba nijue kama huyu mwenye mzigo anaona au kujua anakoelekea.
View attachment 2527261
Ahsanteni.
Wengine wanaita mviriga maviNi kweli shee sisi machungani tuliwaita hivyo [emoji23]
Wazee wa pwani watakuja na tafsiri zaoWengine wanaita mviriga mavi
Wazee wa hovyo sana hawa hawana dogo.Wazee wa pwani watakuja na tafsiri zao
Mabibi na mabwana, nazungumzia mzigo huu hapa! Pia naomba nijue kama huyu mwenye mzigo anaona au kujua anakoelekea.
View attachment 2527261
Ahsanteni.