John Gregory
JF-Expert Member
- Jul 14, 2019
- 1,137
- 2,147
Kanuni za afya haziruhusu watoto chini ya miaka 4 kutumia simu, kompyuta au kishikwambiHuwa ninasikia tu hii kilabu inasajili wachezaji, inashiriki michuano na ligi mbali mbali lakini mbona sijawahi kusikia imeshinda taji/kombe lolote?
Tupo na Mahmoud KahrabaKwanza tukampigie kura chama, hayo mengine yatafuata.
Hata lile 1 tulilokuwa nalo la Mapinduzi tulilipoteza kule ZanzibarHabari wakuu.
Huwa ninasikia tu hii kilabu inasajili wachezaji, inashiriki michuano na ligi mbali mbali lakini mbona sijawahi kusikia imeshinda taji/kombe lolote? Ina maana wamekuwa washiriki na wasindikizaji tu?
Si Ligi kuu, Si FA, Si Ngao ya jamii, CAFCL,CAFCCL wala mapinduzi. Nini kifanyike ili kilabu hii iweze kupata walau taji/kombe moja japo Ndondo cup?
Umezaliwa lini?Habari wakuu.
Huwa ninasikia tu hii kilabu inasajili wachezaji, inashiriki michuano na ligi mbali mbali lakini mbona sijawahi kusikia imeshinda taji/kombe lolote? Ina maana wamekuwa washiriki na wasindikizaji tu?
Si Ligi kuu, Si FA, Si Ngao ya jamii, CAFCL,CAFCCL wala mapinduzi. Nini kifanyike ili kilabu hii iweze kupata walau taji/kombe moja japo Ndondo cup?
Ebu tutajie hayo Makombe!Umezaliwa lini?
Je wajua?
Simba ndio klabu yenye makombe mengi ya jumla kuliko klabu yoyote Afrika Mashariki, ikiwa na vikombe rasmi vya kimashindano 58. Hakuna klabu yoyote zaidi yetu yenye mataji rasmi 58 kwenye nchi za Afrika Mashariki. Pichani baadhi ya makombeView attachment 2561451
Tupo na Mahmoud KahrabaKwanza tukampigie kura chama, hayo mengine yatafuata.
Na mtani jembeEbu tutajie hayo Makombe!
Utasikia alikuwa Bingwa wa kombe la Hedex,
Kombe la Panadol, Kombe la MO, Kombe la miaka 10 ya CCM, kombe la miaka 30 ya Uhuru wa Tanganyika, nk.
Hata lile la mtani jembe halijui masikiniUmezaliwa lini?
Je wajua?
Simba ndio klabu yenye makombe mengi ya jumla kuliko klabu yoyote Afrika Mashariki, ikiwa na vikombe rasmi vya kimashindano 58. Hakuna klabu yoyote zaidi yetu yenye mataji rasmi 58 kwenye nchi za Afrika Mashariki. Pichani baadhi ya makombeView attachment 2561451