Frank Wanjiru
JF-Expert Member
- Apr 12, 2012
- 22,719
- 40,739
Ukiachana na hili kombe la Tano Bila na lile la Robo fainali kombe gani lingine tena?Kanuni za afya haziruhusu watoto chini ya miaka 4 kutumia simu, kompyuta au kishikwambi
View attachment 2561394
Kombe la Tusker,Kombe la Kilimanjaro Lager,Kombe la Pilsner na Kombe la Kibo Gold na yule pacha wake Foma Gold baridi.Ebu tutajie hayo Makombe!
Utasikia alikuwa Bingwa wa kombe la Hedex,
Kombe la Panadol, Kombe la MO, Kombe la miaka 10 ya CCM, kombe la miaka 30 ya Uhuru wa Tanganyika, nk.
Tunazungumzia kombe/taji ya ushindiIMECHUKUA SHILINGI BILIONI MOJA NA MILION MIA TANO ZA ROBO FAINALI.
Duniani pesa , siku ya kombe wakibahatisha watajulishwa.Tunazungumzia kombe/taji ya ushindi
Utakuwa una umri wa mwaka mmoja hivyo sishangai reasoning yako.Hii ni too low hata kwa wewe usie na uwezo wa kutafakari wala kujua chochote kuhusu mpira.Habari wakuu.
Huwa ninasikia tu hii kilabu inasajili wachezaji, inashiriki michuano na ligi mbali mbali lakini mbona sijawahi kusikia imeshinda taji/kombe lolote? Ina maana wamekuwa washiriki na wasindikizaji tu?
Si Ligi kuu, Si FA, Si Ngao ya jamii, CAFCL,CAFCCL wala mapinduzi. Nini kifanyike ili kilabu hii iweze kupata walau taji/kombe moja japo Ndondo cup?
[emoji23][emoji23]Ebu tutajie hayo Makombe!
Utasikia alikuwa Bingwa wa kombe la Hedex,
Kombe la Panadol, Kombe la MO, Kombe la miaka 10 ya CCM, kombe la miaka 30 ya Uhuru wa Tanganyika, nk.
KOmbe laoa ni kumfunga Yanga na kutinga robo fainaliKanuni za afya haziruhusu watoto chini ya miaka 4 kutumia simu, kompyuta au kishikwambi
View attachment 2561394
Ukiachana na hili kombe la Tano Bila na lile la Robo fainali kombe gani lingine tena?
Hata Yanga anamfunga Simba, sema kumfunga nyingi yanga ndio itanoga zaidiKOmbe laoa ni kumfunga Yanga na kutinga robo fainali
Habari wakuu.
Huwa ninasikia tu hii kilabu inasajili wachezaji, inashiriki michuano na ligi mbali mbali lakini mbona sijawahi kusikia imeshinda taji/kombe lolote? Ina maana wamekuwa washiriki na wasindikizaji tu?
Si Ligi kuu, Si FA, Si Ngao ya jamii, CAFCL,CAFCCL wala mapinduzi. Nini kifanyike ili kilabu hii iweze kupata walau taji/kombe moja japo Ndondo cup?
Wewe jamaa ni upinde kutwa kucha kuzungumzia vibaya simba. Ndio maana unapasuliwa kwenye mikekaHabari wakuu.
Huwa ninasikia tu hii kilabu inasajili wachezaji, inashiriki michuano na ligi mbali mbali lakini mbona sijawahi kusikia imeshinda taji/kombe lolote? Ina maana wamekuwa washiriki na wasindikizaji tu?
Si Ligi kuu, Si FA, Si Ngao ya jamii, CAFCL,CAFCCL wala mapinduzi. Nini kifanyike ili kilabu hii iweze kupata walau taji/kombe moja japo Ndondo cup?
Kanuni za afya haziruhusu watoto chini ya miaka 4 kutumia simu, kompyuta au kishikwambi
View attachment 2561394
Hili ni kombe gani?IMECHUKUA SHILINGI BILIONI MOJA NA MILION MIA TANO ZA ROBO FAINALI.
Kombe la uji.