Anayefahamu Simba imechukua kombe gani mpaka sasa anisaidie

Ebu tutajie hayo Makombe!

Utasikia alikuwa Bingwa wa kombe la Hedex,
Kombe la Panadol, Kombe la MO, Kombe la miaka 10 ya CCM, kombe la miaka 30 ya Uhuru wa Tanganyika, nk.
Kombe la Tusker,Kombe la Kilimanjaro Lager,Kombe la Pilsner na Kombe la Kibo Gold na yule pacha wake Foma Gold baridi.
 
Utakuwa una umri wa mwaka mmoja hivyo sishangai reasoning yako.Hii ni too low hata kwa wewe usie na uwezo wa kutafakari wala kujua chochote kuhusu mpira.
Dah kweli ulikuwa kwenye coma umezinduka mwaka jana au ni ni uzumbukuku unakusumbua.?
 

Waulize Yanga miaka 5 iliyopita
 
Reactions: Tui
Wewe jamaa ni upinde kutwa kucha kuzungumzia vibaya simba. Ndio maana unapasuliwa kwenye mikeka
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…