Anayefahamu vizuri taasisi ya mikopo ya kopa mali foundation anifahamishe

Baba Uzia

Senior Member
Joined
Jul 19, 2015
Posts
136
Reaction score
54
Wakuu nimekutana na hii asasi ya Kopa Mali foundation mtandaoni ( http://www.kopa-mali.wapka.mobi/site_0.xhtml ) naona kama vile maelezo yao ni mazuri na ningependa kuwa mwanachama lakini nimeingiwa na hofu ikabidi nije hapa JAMII BUNGE ili hoja yangu iweze kujadiliwa kwa mapana na marefu.

KARIBUNI WAPENDWA.
 
Chamsing n kufika ofisin kwao ..utajua n wakwel au VP ...yan unaweza lak unapata milion ndan ya dkk 45 ...ka n kwel itakuwa nzur ila wanatoa bure milion tatu kwa atakayekopa milion duh
 
Chamsing n kufika ofisin kwao ..utajua n wakwel au VP ...yan unaweza lak unapata milion ndan ya dkk 45 ...ka n kwel itakuwa nzur ila wanatoa bure milion tatu kwa atakayekopa milion duh
Ndio hivyo mkuu maana nimeguswa nikaona nisikurupuke japo wapo tangu 2015, nahitaji mrejesho zaidi kutoka kwa wadau wengine
 
Ndio hivyo mkuu maana nimeguswa nikaona nisikurupuke japo wapo tangu 2015, nahitaji mrejesho zaidi kutoka kwa wadau wengine
Nmefatilia fb ...baadh ya watu wanasema n matapel ...na kuna page ya airtel sidhan ka n airtel wenyew maana wanapost habar zao tu ........ Ila huwez jua watembelee mkuu ukikuta n wakwel ..kindly check me 0685580057 nam nikapate mkwanja
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…