Anayefahamu vyuo vya kuendesha mitambo Afrika Kusini

Anayefahamu vyuo vya kuendesha mitambo Afrika Kusini

Sufian Jr

Member
Joined
Aug 9, 2014
Posts
17
Reaction score
25
Habari naulizia kwa yoyote anayefahamu vyuo vinavyofundisha kozi za kuendesha mitambo south africa na kama wanafanya process za kubadili cheti maana nna cheti Cha forklift Cha hapa TZ

Kwa yoyote anayefahamu hivyo vyuo anijulishe kozi nnayo itaka Sana ni EXCAVATOR .. na kwa mwenye uelewa vizuri na hii nchi tajwa katika upande wa fursa katika kada hizo maana lengo langu kuu nikishamaliza hayo mafunzo kurudi huku labda kusalimia ila nataka nijikite kule au nchi nyingine yoyote kutafuta lakini sio hapa kwenye Giza nene
 
Kweli asee kwa fani ya opareta, huko nje ni dili kuliko hapa.. pambana..
 
Kweli asee kwa fani ya opareta, huko nje ni dili kuliko hapa.. pambana..
Poa poa ndugu yangu ndio natafuta mawazo hapa kwa forum yetu inawezekana yupo mtu huko akanipa some hints atleast nipate mwanga
 
Kijana, kwanza naomba nikukumbushe kwamba hizo machine unazo taka kwenda kusomea SA ni Jambo jema kwasababu naona unafanya kitu moyo wako unataka....
Lakini kwa upande wa soko la ajira, sikushauri ufikirie SA kwasababu tu kule tayari walisha tutangulia kwenye Industrial Equipments and Machinery.
Hali hiyo ilipelekea teknolojia kututangulia miaka kadhaa, na hata hizo mashine unatakazo zisomea ni ngumu sana kuja kufanikiwa kupata ajira zake sababu kwakule SA those big moving Machines zimekua nyingi operated hadi na wadada.
Mimi nashauri kwamba, kama utapenda nenda ukajifunze kuzikarabati hizo machine, na ujikite hasa kwenye Hydraulic System and troubleshooting (and automatically utajikuta unafaham kuziendesha Excavator/Greda/Back hole/Dozers nk) ..... Hii nirahisi ikaja kukutoa na soko lake lipo Dunianzima.
Na unaweza ukaajiriwa na nirahisi ukajiajiri pia
 
Kijana, kwanza naomba nikukumbushe kwamba hizo machine unazo taka kwenda kusomea SA ni Jambo jema kwasababu naona unafanya kitu moyo wako unataka....
Lakini kwa upande wa soko la ajira, sikushauri ufikirie SA kwasababu tu kule tayari walisha tutangulia kwenye Industrial Equipments and Machinery.
Hali hiyo ilipelekea teknolojia kututangulia miaka kadhaa, na hata hizo mashine unatakazo zisomea ni ngumu sana kuja kufanikiwa kupata ajira zake sababu kwakule SA those big moving Machines zimekua nyingi operated hadi na wadada.
Mimi nashauri kwmba, kama utapenda kujifunza juzikarabati hizo machine, na ukajikita hasa kwenye Hydraulic System and troubleshooting (and automatically utajikuta unafaham kuziendesha Excavator/Greda/Back hole/Dozers nk) ..... Hii nirahisi ikaja kukutoa na soko lake lipo Dunianzima.
Na unaweza ukaajiriwa na nirahisi ukajiajiri pia
Nashukuru kwa ushauri mzuri
 
Back
Top Bottom