Lusungo
JF-Expert Member
- Jan 4, 2014
- 28,259
- 41,416
Acha uhuni weka picha ya hiyo hiace... IST yanini kwenye uzi,? Tena ya pink unamaanisha nini?Hebu nieleweshe mambo ya tech inaonekana mtu anaweza kupost picha na nisiweze kuona mana sijaweka picha na sioni picha yoyote! Kama kuna aliyefanya utundu ajue kama ameshiba ajue kuna wengine tuko mbion, tusiharbiane. Aliyeona IST anionyeshe