Mung Chris
JF-Expert Member
- Sep 12, 2017
- 3,391
- 3,849
Wana JF secta hii ya Microcredit ni nzuri sana, kuna fursa kwa anayehitaji kuwekeza kwa masharti ya kwamba
1. awe na mtaji wa sh 400,000 - 1,000,000, kila sh 100,000 atapata faida ya sh 5,000 kwa mwezi 1 na nusu,
2. kuwekeza kuwe kwa mwezi 1 na nusu tu kama jaribio la kuona kama ataweza kuendelea au kuacha,
3. akubaliane na masharti ya taasisi husika kwa kipindi cha mwezi 1 na nusu kwanza.
4. yeyote anaruhusiwa kuwekeza kwa mwezi 1 na nusu kwa kiasi hicho kwa mkataba na bima.
Taasisi imesajiliwa na inafanya kazi kwa mujibu wa sheria, wateja wamekuwa wengi kiasi kwamba wanahitaji wawekezaji, unahakikishiwa kuhusu uwekezaji na ulinzi wa mali kwa kipindi hicho. kiwango hicho ni kuwawezesha watu wa chini na wa kati ambao hawawezi kuwekeza kwa mambo makubwa.
Asiye na uwezo wa kuwekeza na asiyehusika asi comment kisicho mhusu. Njoo PM kwa majibu ya maswali zaidi na maoni pia yatapokelewa.
Mod One Mod Anthony Mod Two Moderator msaada badilisheni title isomeke:
ANAYEHITAJI KUWEKEZA KWENYE MICROCREDIT AWASILIANE NASI
1. awe na mtaji wa sh 400,000 - 1,000,000, kila sh 100,000 atapata faida ya sh 5,000 kwa mwezi 1 na nusu,
2. kuwekeza kuwe kwa mwezi 1 na nusu tu kama jaribio la kuona kama ataweza kuendelea au kuacha,
3. akubaliane na masharti ya taasisi husika kwa kipindi cha mwezi 1 na nusu kwanza.
4. yeyote anaruhusiwa kuwekeza kwa mwezi 1 na nusu kwa kiasi hicho kwa mkataba na bima.
Taasisi imesajiliwa na inafanya kazi kwa mujibu wa sheria, wateja wamekuwa wengi kiasi kwamba wanahitaji wawekezaji, unahakikishiwa kuhusu uwekezaji na ulinzi wa mali kwa kipindi hicho. kiwango hicho ni kuwawezesha watu wa chini na wa kati ambao hawawezi kuwekeza kwa mambo makubwa.
Asiye na uwezo wa kuwekeza na asiyehusika asi comment kisicho mhusu. Njoo PM kwa majibu ya maswali zaidi na maoni pia yatapokelewa.
Mod One Mod Anthony Mod Two Moderator msaada badilisheni title isomeke:
ANAYEHITAJI KUWEKEZA KWENYE MICROCREDIT AWASILIANE NASI