Anayehitaji mwenzi kutoka pande za majuu

Anayehitaji mwenzi kutoka pande za majuu

Mc Bright

New Member
Joined
May 7, 2013
Posts
3
Reaction score
0
Wadada wakibongo mlio singo kama unahitaji kudate na Mr Kutoka USA, Hebu ni pm. Tupunguze ili tatizo la kugombea wanaume hapa bongo. lol
 
Aliyekuambia wanaume bongo wanagombewa ni nani?
Kwani dada zako wamekosa wanaume bongo?
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Little Angel tatizo wakiwa huko majuu wanaona kana kwamba wameshafanikiwa
na watatetemekewa sana, hapa bongo unaweza kupata unachokipenda pia.

ilihali wengi wao wanahangaika tu ili mradi wapo states au europe.. angetumia hiyo nafasi kuwakomboa ndugu zake angefanya la maana sana...
 
Last edited by a moderator:
huwa hawawakumbuki hata ndugu zao na wakirudi bongo wanajifanya wathungu kuongea na wazazi wao kiswangish
ndo zao.

Yupo mmoja tu alifanikiwa kupata greencard yeye ndo walau kabeba familia yote kahamishia huko majuu,


wengine mmmmh.

ilihali wengi wao wanahangaika tu ili mradi wapo states au europe.. angetumia hiyo nafasi kuwakomboa ndugu zake angefanya la maana sana...
 
huwa hawawakumbuki hata ndugu zao na wakirudi bongo wanajifanya wathungu kuongea na wazazi wao kiswangish
ndo zao.

Yupo mmoja tu alifanikiwa kupata greencard yeye ndo walau kabeba familia yote kahamishia huko majuu,


wengine mmmmh.
huyo wa greencard nimempata si yule wa .....
 
mleta uzi rudi, usome umeyataka mwenyewe!!!! hhhhhhhaaa
SP
 
sifa za kijinga,tuambieni na kazi mnazofanya huko majuu
 
Mngejua huko makuu watu wanavyosota ata msingesema mnayosema little angle na mamndenyi.Kule hakufaii wewe,wale ni watumwa tu.
 
Wadada wakibongo mlio singo kama unahitaji kudate na Mr Kutoka USA, Hebu ni pm. Tupunguze ili tatizo la kugombea wanaume hapa bongo. lol
Kwenye ukoo wenu hawapo hao single?
Vipi Mtaani kwenu nako hawapo hao uwatakao?

Mtoe dadako kwanza akagegedeke kwa 'wadhungu'kisha wafatie mama zako wadogo na shangazi zako,wakiisha kwenye ukoo wenu piga kwata mitaani,wakimalizika piga kwata kwenye kata yako,jimbo then njoo mtandaoni mwambie faida iliyopatikana kabla ya ku promote hapa!
 
Back
Top Bottom