Anayeifahamu tume ya mionzi jamani

Anayeifahamu tume ya mionzi jamani

Rweza79

JF-Expert Member
Joined
Feb 29, 2012
Posts
207
Reaction score
47
Nimeitwa kwenye interv. Next wk na tume ya mionzi Arusha, plze naomba yeyote anayeifahamu vizuri anijuze, nini maana ya mshahara wa PRSS 1 na sh. Ngapi? Kuna maslahi gani mengine tofauti na mshahara?
Ni hayo tu wapendwa.
 
Back
Top Bottom