Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimefanya hivyo! Zimekuja app za mabasi ya India
Sijaelewa swali lako! Inamaana unamaanisha kuna App za mabasi mfano yanayotoka Dar-Moro,na zingine za mabasi ya Dodoma -Mwanza?Unatoka wapi unaenda wapi
Kwa nilivoelewa, anataka kujua lengo au dhumuni lako kwenye iyo App ni nini? Ujue mabasi yanayoenda mikoa flani, au unataka kukata tiketi, au unataka kujua nauli au uone mapungufu ya izo Apps?Sijaelewa swali lako!Inamaana unamaanisha kuna App za mabasi mfano yanayotoka Dar-Moro,na zingine za mabasi ya Dodoma -Mwanza?
Apply hayo hayo,...'Sheeee' 😅 in Masai voice😂😂Nimefanya hivyo!Zimekuja app za mabasi ya India
Hiyo nimeangia imenipeleka ujerumaniwww.tiketi.com angalia hii tovuti
Nataka kwa safari za Mbeya-Kigoma,Kigoma-Dar,Dar-MbeyaKwa nilivoelewa, anataka kujua lengo au dhumuni lako kwenye iyo App ni nini? Ujue mabasi yanayoenda mikoa flani, au unataka kukata tiketi, au unataka kujua nauli au uone mapungufu ya izo Apps?
Hayo mawazo yangu tu.
HapanaHiyo nimeangia imenipeleka ujerumani
Nataka kwa safari za Mbeya-Kigoma,Kigoma-Dar,Dar-Mbeya
Nyarugusu to MurusagambaUnatoka wapi unaenda wapi
Jaribu OtappNaomba anayeijua app nzuri ya kukatia online tickets za basi hapa Tanzania anijuze tafadhali! Nimejaribu app ya e-ticket kilichonipata sina hamu kabisa!!!
Tickets.se opodo.com momondo.com travellink.comNaomba anayeijua app nzuri ya kukatia online tickets za basi hapa Tanzania anijuze tafadhali! Nimejaribu app ya e-ticket kilichonipata sina hamu kabisa!!!