Anayejenga uwanja wa Biafra ni nani? Sio eneo la wazi lile?

Anayejenga uwanja wa Biafra ni nani? Sio eneo la wazi lile?

Mpinzire

JF-Expert Member
Joined
Jan 18, 2013
Posts
7,503
Reaction score
13,463
Habari wadau!

Naona uwanja wa Biafra unamegwa tu kadri siku zinavyozidi kwenda mbele!

Najiuliza ni Serikali yenyewe inayoua kile kiwanja cha michezo au tajiri gani haswa?
 
Maeneo ya wazi siku hizi watu wanajitwalia tu.

Hananasifu shule ya msingi kuna ujenzi unaendelea hivi sasa

Kuna jengo kubwa la ghorofa. Pembeni ya hilo ghorofa kulikuwa ni eneo la wazi ambapo watoto wa shule ya msingi hasa chekechea walitumia kufanyia michezo yao.

Leo kuna ujenzi tena unaenda kasi zaidi. Hata kibao cha ujenzi hakipo.

Ni hela yako tu. Ukijua kupitia mlango wa nyuma mbona hata katikati ya bahari unaweza kupewa himaya ukajenga.
 
Maeneo ya wazi siku hizi watu wanajitwalia tu

Hananasifu shule ya msingi kuna ujenzi unaendelea hivi sasa

Kuna jengo kubwa la ghorofa,
Pembeni ya hilo ghorofa kulikuwa ni eneo la wazi ambapo watoto wa shule ya msingi hasa chekechea walitumia kufanyia michezo yao.

Leo kuna ujenzi tena unaenda kasi zaidi.Hata kibao cha ujenzi hakipo.

Ni hela yako tu.Ukijua kupitia mlango wa nyuma mbona hata katikati ya bahari unaweza kupewa himaya ukajenga,
Hakuna kitu kinachefua kama hili suala la kujenga viwanja vya wazi? Miaka ijayo watu wataishije sehemu isiyo na uwazi wowote. Kwa nini wasiende kujenga pembeni ya mji kwenye maeneo? Huu ni wendawazimu.
 
Duh lile ni eneo la wazi miaka yote tunaishi hapa mjini huwa tunatumia kwa michezo, mikutano ya hadhara, na minada ya jumamosi.

Last time walisogea Manispaa waliweka kambi ya kuhifadhi vifusi na zana za ujenzi wa barabara ambazo zipo chini ya mradi wa DMDP kinondoni.

Kama kuna ujenzi zaidi basi Manispaa wameshapiga hela, na huyu mama aendelee kutoa matamko badala ya ku-act mapema.
 
Maeneo ya wazi siku hizi watu wanajitwalia tu

Hananasifu shule ya msingi kuna ujenzi unaendelea hivi sasa

Kuna jengo kubwa la ghorofa,
Pembeni ya hilo ghorofa kulikuwa ni eneo la wazi ambapo watoto wa shule ya msingi hasa chekechea walitumia kufanyia michezo yao.

Leo kuna ujenzi tena unaenda kasi zaidi.Hata kibao cha ujenzi hakipo.

Ni hela yako tu.Ukijua kupitia mlango wa nyuma mbona hata katikati ya bahari unaweza kupewa himaya ukajenga,
Awamu ya pili= awamu ya nne = awamu ya sita kwenye maeneo ya wazi
 
Habari wadau! Naona uwanja wa Biafra unamegwa tu kadri siku zibavyozidi kwenda mbele! Najiuliza ni Serijali yenyewe inayoua kile kiwanja cha michezo au tajiri gani haswa?
Nauliza nani amemng'oa Look V meno?
 
Dah! Inauma sana aisee....nimecheza sana mpira pale. Itafika hatua kizazi hiki kitaishia kucheza playsation na kuangalia movie tu majumban mwao hakutakuwa tena na maeneo ya wazi ya kujiachia kama zamani
Pale Biafra ni makao ya vibaka na Wala unga Bora wajenge tu mapusha wengi huko
 
Maeneo ya wazi siku hizi watu wanajitwalia tu.

Hananasifu shule ya msingi kuna ujenzi unaendelea hivi sasa

Kuna jengo kubwa la ghorofa. Pembeni ya hilo ghorofa kulikuwa ni eneo la wazi ambapo watoto wa shule ya msingi hasa chekechea walitumia kufanyia michezo yao.

Leo kuna ujenzi tena unaenda kasi zaidi. Hata kibao cha ujenzi hakipo.

Ni hela yako tu. Ukijua kupitia mlango wa nyuma mbona hata katikati ya bahari unaweza kupewa himaya ukajenga.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom