Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa huyu nido Ana fanya nini ikulu kama kiti ni kuzito ampishe waziri mkuu ,kwa habari ya chini ya kapeti coco beach nayo inakwenda kwa mapedejeeMaeneo ya wazi siku hizi watu wanajitwalia tu.
Hananasifu shule ya msingi kuna ujenzi unaendelea hivi sasa
Kuna jengo kubwa la ghorofa. Pembeni ya hilo ghorofa kulikuwa ni eneo la wazi ambapo watoto wa shule ya msingi hasa chekechea walitumia kufanyia michezo yao.
Leo kuna ujenzi tena unaenda kasi zaidi. Hata kibao cha ujenzi hakipo.
Ni hela yako tu. Ukijua kupitia mlango wa nyuma mbona hata katikati ya bahari unaweza kupewa himaya ukajenga.
Bryson aliupanga vizuri sehemu za kinondoniWanafiki kazini hii nchi bora wazungu warudi kutawala tena maana kila raisi anapigwa vita mnataka muongozwe na malaika
TANZANIA NDIYO NCHI PEKEE ISIYETAMBUA UMUHIMU WA MAENEO YA WAZI
WATU HAWANA SEHEMU ZA KWENDA KUCHEZA MICHEZO
NCHI HII INA MAMBO YA AJABU SANA
ova
Ndio hayupo, sasa unamkenulia nani mimeno?mwendazake hayupo ss hivi [emoji16]
Weka picha ya mihuri kwenye passport tukuamini la sivyo ni porojo tu na fiksiSio kweli.
Juzi nilikuwa ivorycost na Nigeria hali ni mbaya bora hapa kwetu
Ukweli ndiyo huoSio kweli.
Juzi nilikuwa ivorycost na Nigeria hali ni mbaya bora hapa kwetu
[emoji23][emoji23]Weka picha ya mihuri kwenye passport tukuamini la sivyo ni porojo tu na fiksi
Kibanda cha Mkaa??Hata Mbezi kiwanja cha mkaaa nako naona sheli n.k