mr_stev001
Senior Member
- Feb 4, 2023
- 159
- 220
unaweza kutubrief kidogo huko DSE unajihusisha na hisa how ? Are you a broker ama ni unamiliki hisa pia?Habari ndugu zanguni,
Mimi najihusisha na DSE naomba kama kuna anayejihusisha pia na hisa, tujuane tuweze kubadilishana mawili matatu.
Naona hata yeye mwenyewe hajui kituunaweza kutubrief kidogo huko DSE unajihusisha na hisa how ? Are you a broker ama ni unamiliki hisa pia?
1. Kwenye soko la hisa huwezi nunua hisa direct, lazima utumie hao madalali mf. Solomon stockbroker ltd, core securities ltd nkNatafuta ABC za DSE ili ninunue hisa
Hebu share uzoefu wako hapa
Kampuni zilizooridheshwa, zinazotoa gawio nono, madalali/brokers na ishu zingine
Unanunua vizuri tuHivi DSE inawezekana kununua hisa online?
Natamani sana nijue kuhusu hisa,naanzaje jamani?
unaweza kutubrief kidogo huko DSE unajihusisha na hisa how ? Are you a broker ama ni unamiliki hisa pia?
namiliki hisa broker nae mtumia ni solomon stock brokers so nataman kujua zaidi ya hapa nilipoo
Mfano :-1. Kwenye soko la hisa huwezi nunua hisa direct, lazima utumie hao madalali mf. Solomon stockbroker ltd, core securities ltd nk
2. Utawasiliana na dalali, utafunguliwa account maalaum ikiwa ni pamoja na kujaza fomu na kulipia hisa unazotaka kwenye kampuni ambazo ziko listed dse mf. Crdb, dse, jatu, nmb, tbl nk
3. Dalali ataweka hela kwenye account maalum ya benk kwa ajili ya kununua na kuuza hisa
4. Dalali ataweka oda yako kwenye mfumo ya kununua hisa kwenye soko la hisa
5. Bei unayotaka kununulia hisa zikifanana na ambaye anauza atakuwa amekukunulia hisa hizo.
6. Baada ya kufanya mabadilishano hayo katika mfumo utapewa cheti cha kusibitisha kuwa wewe ni mwekezaji wa kampuni hiyo
7. Ukita kuuza utawasiliana na dalali, kisha process nyingine zitafata
NB. Ukinunua hisa utakuwa unapata gawio na faida nyinginezo kulingana na idadi ya hisa ulizonazo