1. Kwenye soko la hisa huwezi nunua hisa direct, lazima utumie hao madalali mf. Solomon stockbroker ltd, core securities ltd nk
2. Utawasiliana na dalali, utafunguliwa account maalaum ikiwa ni pamoja na kujaza fomu na kulipia hisa unazotaka kwenye kampuni ambazo ziko listed dse mf. Crdb, dse, jatu, nmb, tbl nk
3. Dalali ataweka hela kwenye account maalum ya benk kwa ajili ya kununua na kuuza hisa
4. Dalali ataweka oda yako kwenye mfumo ya kununua hisa kwenye soko la hisa
5. Bei unayotaka kununulia hisa zikifanana na ambaye anauza atakuwa amekukunulia hisa hizo.
6. Baada ya kufanya mabadilishano hayo katika mfumo utapewa cheti cha kusibitisha kuwa wewe ni mwekezaji wa kampuni hiyo
7. Ukita kuuza utawasiliana na dalali, kisha process nyingine zitafata
NB. Ukinunua hisa utakuwa unapata gawio na faida nyinginezo kulingana na idadi ya hisa ulizonazo