demigod
JF-Expert Member
- Jan 2, 2015
- 8,292
- 15,250
Kigunia ni over-rated pafyume.Leo nimeenda Kariakoo nimerudi na Kigunia na karanga za kuchemsha.
View attachment 2132157
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kigunia ni over-rated pafyume.Leo nimeenda Kariakoo nimerudi na Kigunia na karanga za kuchemsha.
View attachment 2132157
Kwan inaitwaj hiyonime buy hii perfume jana ila hainukii imepoa sana
je aina gani nzuri na inanukia ktk brand hii?View attachment 2139093
Kuna ka perfume kanaitwa silver scent mi nakapenda...😊 unako?Za kupima sijaweka
Ila wanaanzia 5,000 kuendelea
Kwangu zipo original Dubai na copy zake
Excellent,Nitapata chimbo zuri ninunue za jumla za mills tofautiNgoja mm nikupe list hapa Kazi iwe kwako kuumiza AKILI lkn nukuu ongezea iyo pesa yako Ndugu yang .Nukuu hautokuja kujutia ukitumia hizi bidhaa
Changamoto zake ni kusumbuliwa na wadada
1.Brown orchid
2.Echo
3.Versace
4.Zara
5.Dior
6.GreedAventus sio ile og.
7.Axe polo
8.Hayaat
9.Dark fever
10. Dirham
Mkuuu moja Kati ya hizi bidhaa ni kwere inkaa kwenye nguo 24hours na zaid depends na mazingira unashinda ww
Mademu nje nje huvutiwa na zile harufu quite and smooth haikeri .Sijaweka bei lkn angalau uwe na 25k utaopoa mojawapo kila la kheri katika Safar ya kuwa gentleman
Lakin c unatumia lotion za manukato , why perfume una iponda sana.Mie nikisikia harufu ya perfume yeyote, nachefukwa na vinginevyo kutapika kabisaa. Aaaah
Jaribu kununua perfume za brand zinazojulikana ,hiyo yako naona haina ata jina la kueleweka.nime buy hii perfume jana ila hainukii imepoa sana
je aina gani nzuri na inanukia ktk brand hii?View attachment 2139093
Nunua izi perfume ni nzuri balaanime buy hii perfume jana ila hainukii imepoa sana
je aina gani nzuri na inanukia ktk brand hii?View attachment 2139093
🤔Ongeza 25k kwenye hivyo vijisenti vyako ununue blue channel, mabinti watakuwa wanaomba makumbatio yako kama wewe ni mrefu
Wakuu kati ya hizo box mbili za sauvage ipi ni original na ipi ni copy??Nunua izi perfume ni nzuri balaa
1.Dior sauvage
2.creed aventus
3.bleu de channel
4.one millions
5.de Nuit de intense
6.davidoff cool water for men
7.tom ford
8.versace for men
9.Aqua di GIO
Zote miyeyusho tu
Asee nimeshatumia feki hadi mzuka wa kutafuta og umekata kbsaToo bad cjaweza kutumia hizo Dior za chupa kama yako ,ila nanunuaga za kupima ,utambuzi wa kujua ipi copy na og CNA ,labda wadau apo juu wataweza toa ufafanuz zaid Msweden Extrovert Bwana Mrefu
Sumu hizi. Chukua tahadhari
Mkuu tuheshimianeJinsia gani wewe? Mbona kama [emoji304] hivi
Unapanik Nini? Jibu swaliMkuu tuheshimiane
Ina harufu nzuriOngeza 25k kwenye hivyo vijisenti vyako ununue blue channel, mabinti watakuwa wanaomba makumbatio yako kama wewe ni mrefu
Swali gani mzee wakati hata jina la ID linajioneshaUnapanik Nini? Jibu swali