Anayejua faida ya vyama vingi atujulishe

Anayejua faida ya vyama vingi atujulishe

Wana jamvi na kuja kwenu na uliza anayejua tumepata faida gani Tanzania kwa kuwa na vyama vingi atuambie
Tanzania ni nchi ya Kidemokrasia inayofata mfumo wa vyama vingi. Swali je tumepata gani toka mfumo wa vyama vingi
Bado hatujavikabidhi mdaraka na hatujui faida zao mpaka tuwaone wakiwa madarakani kama wenzao ccm tunao wapima.

Tatizo ni hao walioko madarakani ambao nao hawataki kutokamo na huku wakiwaita wenzao wana tamaa ya madaraka... ifike mahali wawachie wengine na tuwapime watafanya nini...
 
Wana jamvi na kuja kwenu na uliza anayejua tumepata faida gani Tanzania kwa kuwa na vyama vingi atuambie
Tanzania ni nchi ya Kidemokrasia inayofata mfumo wa vyama vingi. Swali je tumepata gani toka mfumo wa vyama vingi
Swali Hilo ligeuze liwe tumepata faida Gani kuwa na mfumo wa chama kimoja Toka 1965 mpaka 1992

Je tunafaida Gani kuwa na ccn Mika 60 tangu tuwe huru

Ukijibu hayo tayari utakuwa umejijibu maswali yako
 
Wana jamvi na kuja kwenu na uliza anayejua tumepata faida gani Tanzania kwa kuwa na vyama vingi atuambie
Tanzania ni nchi ya Kidemokrasia inayofata mfumo wa vyama vingi. Swali je tumepata gani toka mfumo wa vyama vingi
Vyama havina tija kwa sisi waafrika vinatumiwa na wahuni katika kufanikisha yao, bora tuwe na no-party democracy.
 
Wana jamvi na kuja kwenu na uliza anayejua tumepata faida gani Tanzania kwa kuwa na vyama vingi atuambie
Tanzania ni nchi ya Kidemokrasia inayofata mfumo wa vyama vingi. Swali je tumepata gani toka mfumo wa vyama vingi
Maendeleo na uhuru wa kweli.
 
Tumekidhi vigezo vya kimataifa vya ukopaji wa pesa, uwekezaji nk.
Lakin pia tumeichallenge serkali mara zote na kuongeza chachu katika utendaji wake.

Imagin utawala wa serkali dharimu za warafi wa Africa bila vyama vingi tungeshageuzwa watumwa wa CCM kwa 100%
 
Wewe ni mjinga,sijui una experience na mfumo wa chama kimoja?
Ujinga wangu una hoja, kwanza tulikuwa na chama kimoja kwa muda mrefu tija yake labda wewe ndiyo mwenye kuijua, baadaye tukaingia kwenye vyama vingi mpaka sasa tija yake unaijua, kwanini tusiondoe mfumo wa vyama vya kisiasa katika utawala? Pesa zetu tunazitumia kuwalipa mijitu yenye vyama, wao wananufaika na wengi wetu tunaishi kwenye udhalili wa kiuchumi. Let's give Non-partisan Democracy a try.
 
Ujinga wangu una hoja, kwanza tulikuwa na chama kimoja kwa muda mrefu tija yake labda wewe ndiyo mwenye kuijua, baadaye tukaingia kwenye vyama vingi mpaka sasa tija yake unaijua, kwanini tusiondoe mfumo wa vyama vya kisiasa katika utawala? Pesa zetu tunazitumia kuwalipa mijitu yenye vyama, wao wananufaika na wengi wetu tunaishi kwenye udhalili wa kiuchumi. Let's give Non-partisan Democracy a try.
Wewe shida yako ni fedha siyo,lakini huangalii mafanikio ya mmoja mmoja na nchi kwa ujumla.
 
Wana jamvi na kuja kwenu na uliza anayejua tumepata faida gani Tanzania kwa kuwa na vyama vingi atuambie
Tanzania ni nchi ya Kidemokrasia inayofata mfumo wa vyama vingi. Swali je tumepata gani toka mfumo wa vyama vingi
Ndio maana nasema kila siku ELIMU ya Tanzania ni ya kijinga Sana! Ni Elimu ya kukariri na haikupi uwezo wa kujitakia kimawazo.
 
Habari, naitwa sia kutoka Sakura motors Japan sisi ni tawi la Tanzania tupo kwaajili ya kuhakikisha wadau wa Sakura wanapata huduma Bora na kiurahisi.

Sisi tunadeal na kuuza gari hizi za biashara hasa coaster, Mitsubishi Rosa, Nissan civilian, Isuzu journey, Mitsubishi aero mid bus. Karibuni sana jamani.
Kama ulikuwa ukitafuta USHAURI PIGA ☎️0785445409.
 
Wewe shida yako ni fedha siyo,lakini huangalii mafanikio ya mmoja mmoja na nchi kwa ujumla.
Shida yangu ni hali mbaya ya wengi wetu kiafya, kielimu, kijamii na yote haya yanasababishwa na uchumi wetu kuwa mbaya ilhali tuna utitiri wa mali ghafi, tuseme ukweli, nchi imezungukwa na maziwa na mito, lakini bado kuna sehemu hakuna huduma ya maji safi na salama, ardhi kubwa tuliyojaaliwa bado kuna sehemu hazina chakula cha kutosha, elimu yenye manufaa haitolewi badala yake tunakaririshwa mambo ambayo mtu anamaliza chuo anazurura na makaratasi kazi hakuna na hawezi kujiajiri, tuna mifugo ya kutosha leo mtu kula nyama ni anasa, bahari na maziwa tuliyo jaaliwa tunashindwa hata kula samaki. Kuna mtu analipwa 20,000,000/- kwa mwezi na kuna mwingine analipwa 100,000/- kwa mwezi, huoni tunashindwa hata kujipangia vipato vyetu na ndiyo maana ruhswa inaongezeka, uminywaji wa haki unaongezeka, hali ya usalama siyo nzuri sana kwani bado watu wanaibiana vitu vidogovidogo.
Mandeleo ya mtu mmoja mmoja ukiyaangalia nyuma ya pazia utakuta kuna uvunjifu wa sheria mpaka mtu ndiyo aweze kutoboa, lakini kihalali tusidanganyane huwezi kutoboa kama si mwizi au ukashirikiana na wezi. Nchi kama Kenya imejitengeneza kimaendeleo katika miundo mbinu na kibiashara lakini sasa iangalie hao wanasiasa wanavyoifikisha Kenya yao.
 
Shida yangu ni hali mbaya ya wengi wetu kiafya, kielimu, kijamii na yote haya yanasababishwa na uchumi wetu kuwa mbaya ilhali tuna utitiri wa mali ghafi, tuseme ukweli, nchi imezungukwa na maziwa na mito, lakini bado kuna sehemu hakuna huduma ya maji safi na salama, ardhi kubwa tuliyojaaliwa bado kuna sehemu hazina chakula cha kutosha, elimu yenye manufaa haitolewi badala yake tunakaririshwa mambo ambayo mtu anamaliza chuo anazurura na makaratasi kazi hakuna na hawezi kujiajiri, tuna mifugo ya kutosha leo mtu kula nyama ni anasa, bahari na maziwa tuliyo jaaliwa tunashindwa hata kula samaki. Kuna mtu analipwa 20,000,000/- kwa mwezi na kuna mwingine analipwa 100,000/- kwa mwezi, huoni tunashindwa hata kujipangia vipato vyetu na ndiyo maana ruhswa inaongezeka, uminywaji wa haki unaongezeka, hali ya usalama siyo nzuri sana kwani bado watu wanaibiana vitu vidogovidogo.
Mandeleo ya mtu mmoja mmoja ukiyaangalia nyuma ya pazia utakuta kuna uvunjifu wa sheria mpaka mtu ndiyo aweze kutoboa, lakini kihalali tusidanganyane huwezi kutoboa kama si mwizi au ukashirikiana na wezi. Nchi kama Kenya imejitengeneza kimaendeleo katika miundo mbinu na kibiashara lakini sasa iangalie hao wanasiasa wanavyoifikisha Kenya yao.
Imejitengenezea maendeleo kwa sababu ya Mfumo wa Vingi.
 
Back
Top Bottom