black_handsome34
Member
- May 24, 2024
- 33
- 46
Hata flyover unazoziona au kuzisikia bila vyama vingine zisingekuwapo. Pikipiki zinazogawiwa mikoani zisingekuwapo, barabara zinazojengwa angalau Kwa kiwango cha ilimradi liende zisingejengwa, Viongozi wangekuwa wakipita barabarani tunafunga biashara na shule tukawapigie makofi. Zidumu fikra za waheshimiwa zingezidi, Bwawa la umeme lisingekuwapo, Reli ya SGR ingeisha 2050 au isingekuwapo. Uwezo wa wananchi kutetea masilahi yao yaani WOGA ungezidi. Mambo mengi sana nk nk nk. Huwezi kuyamalizaWanajamvi na kuja kwenu na uliza anayejua tumepata faida gani Tanzania kwa kuwa na vyama vingi atuambie
Tanzania ni nchi ya Kidemokrasia inayofata mfumo wa vyama vingi.
Swali je tumepata faida gani toka mfumo wa vyama vingi?
PIA SOMA
- Tanzania yenye vyama vingi vya siasa, sawa na Tanzania isiyokuwa na vyama. Nini tatizo?
HakunagaWanajamvi na kuja kwenu na uliza anayejua tumepata faida gani Tanzania kwa kuwa na vyama vingi atuambie
Tanzania ni nchi ya Kidemokrasia inayofata mfumo wa vyama vingi.
Swali je tumepata faida gani toka mfumo wa vyama vingi?
PIA SOMA
- Tanzania yenye vyama vingi vya siasa, sawa na Tanzania isiyokuwa na vyama. Nini tatizo?
Hata mfumo wetu wa vyama vingi ni mazingaombwe na maigizo tu, hakuna chama cha upinzani cha kukishinda chama dola, nasema tena hakuna.Imejitengenezea maendeleo kwa sababu ya Mfumo wa Vingi.
Nimeuliza swali sijalalamika hii ni kwasababu ni metafakali Sana Niki tafuta faida ya vyama vingi sijaiona. Na tamani turudie mfumo wa chama ki moja. Tutapunguza gharama za kuendesha nchi na tutapata faida kubwa sanaShiriki kwenye siasa za vyama vingi acha kulalamika CCM wanaitafuna nchi au nawe mmoja wao?
Mmmmhh! Upo serious na unajua kweli umuhimu wa demokrasia ya vyama vingi?!Nimeuliza swali sijalalamika hii ni kwasababu ni metafakali Sana Niki tafuta faida ya vyama vingi sijaiona. Na tamani turudie mfumo wa chama ki moja. Tutapunguza gharama za kuendesha nchi na tutapata faida kubwa sana
CHECK IN BALANCE.Wanajamvi na kuja kwenu na uliza anayejua tumepata faida gani Tanzania kwa kuwa na vyama vingi atuambie
Tanzania ni nchi ya Kidemokrasia inayofata mfumo wa vyama vingi.
Swali je tumepata faida gani toka mfumo wa vyama vingi?
PIA SOMA
- Tanzania yenye vyama vingi vya siasa, sawa na Tanzania isiyokuwa na vyama. Nini tatizo?
Wanajamvi na kuja kwenu na uliza anayejua tumepata faida gani Tanzania kwa kuwa na vyama vingi atuambie
Tanzania ni nchi ya Kidemokrasia inayofata mfumo wa vyama vingi.
Swali je tumepata faida gani toka minaonyesha wewe ni kula kulala fumo wa vyama vingi?
PIA SOMA
- Tanzania yenye vyama vingi vya siasa, sawa na Tanzania isiyokuwa na vyama. Nini tatizo?
Utakuwa kula kulala kwa shemejiWanajamvi na kuja kwenu na uliza anayejua tumepata faida gani Tanzania kwa kuwa na vyama vingi atuambie
Tanzania ni nchi ya Kidemokrasia inayofata mfumo wa vyama vingi.
Swali je tumepata faida gani toka mfumo wa vyama vingi?
PIA SOMA
- Tanzania yenye vyama vingi vya siasa, sawa na Tanzania isiyokuwa na vyama. Nini tatizo?
Ni kweli kabisa.unakuta mabiloni ya pesa yanaliwa kipindi cha uchaguzi eti kwa ajiri kampeni.mtu kama Mr Rungwe anasima pale mwenge kwenye kagari anasema eti mkinichagua wananchi wote mtakula UBWABWA.anaishia pale mwenge tu na mabilioni anakulaUjinga wangu una hoja, kwanza tulikuwa na chama kimoja kwa muda mrefu tija yake labda wewe ndiyo mwenye kuijua, baadaye tukaingia kwenye vyama vingi mpaka sasa tija yake unaijua, kwanini tusiondoe mfumo wa vyama vya kisiasa katika utawala? Pesa zetu tunazitumia kuwalipa mijitu yenye vyama, wao wananufaika na wengi wetu tunaishi kwenye udhalili wa kiuchumi. Let's give Non-partisan Democracy a try.
Akili mgando hizi,mbona nchi nyingine vyama vingine vimetawala na maendeleo ni makubwa kuliko ya kwetu.Hata mfumo wetu wa vyama vingi ni mazingaombwe na maigizo tu, hakuna chama cha upinzani cha kukishinda chama dola, nasema tena hakuna.
Let me be a cynic about Tanzanian pokitics, which is what you are insinuating.Wanajamvi na kuja kwenu na uliza anayejua tumepata faida gani Tanzania kwa kuwa na vyama vingi atuambie
Tanzania ni nchi ya Kidemokrasia inayofata mfumo wa vyama vingi.
Swali je tumepata faida gani toka mfumo wa vyama vingi?
PIA SOMA
- Tanzania yenye vyama vingi vya siasa, sawa na Tanzania isiyokuwa na vyama. Nini tatizo?
raraa reree unawezaje ku like post kabla sijaipost?Let me be a cynic about Tanzanian pokitics, which is what you are insinuating.
Unajua asilimia ngapi ya bajeti ya Tanzania inategemea misaada ya kutoka nje?
Umeona mkuu ziko nchi nyingine zimefanya mageuzi lakini Hali zao ni mbaya sana.Akili mgando hizi,mbona nchi nyingine vyama vingine vimetawala na maendeleo ni makubwa kuliko ya kwetu.
Kama nchi gani?Umeona mkuu ziko nchi nyingine zimefanya mageuzi lakini Hali zao ni mbaya sana.