Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sahihi kabisa kiongoziKuna story ya uongo kwamba huyo jamaa anaeoa kapooza miguu hawezi kusimam hao wengine ni rafiki zake wanamsaidia kusimama
Ukweli ni kwamba hio ni ishara ya umoja kwenye baadhi ya nchi katika vikundi kama kambi za kupigania uhuru, harakati, , jeshini, n.k hasa wakiwa wanaishi wote kwa muda mrefu, ni kama ishara ya kuonyesha brotherhood.
View attachment 2601670
View attachment 2601659
View attachment 2601658
Wakuu,
Inasemekana bwana harusi alipooza tangu akiwa na miaka saba,Sijui Ugonjwa ulitokana na nini na sijui ilikuwaje akapata mchumba baade akiwa kijana ila akiwa na hali hiohio(Ya kupooza).
Siku ya harusi yao ilibidi hao rafiki zake wasimame nyuma ili kumtegemeza(Support) ili aweze kusimama vizuri kwa ajili ya tukio hilo la ndoa yake.
Sasa kwa anayejua habari kamili atusaidie kujua huyu bwana Harusi alipona au yuko na hali hio mpaka sasa na Ndoa yao inaendeleaje?wana watoto au vipi?
Karibuni.View attachment 2601624
Na hao washkaji zake waliomsaidia kusimama ndio watamsaidia ......Ukiona hivyo ana hela. Huwezi pata murembo Kama huyo ukiwa broke
Eh? Nyinyi bado mpo huko tu?Hao wa nyuma hawana dalili kama wanambeba mtu asiyeweza kusimama.
Wanaume siku hizi wanatafuta sababu hata zisizo za ulazima kukaribiana (kimwili) kiasi hiki. Inatisha!
Habari za huzuni huzuni zinakufurahisha sana ehWakuu,
Inasemekana bwana harusi alipooza tangu akiwa na miaka saba,Sijui Ugonjwa ulitokana na nini na sijui ilikuwaje akapata mchumba baade akiwa kijana ila akiwa na hali hiohio(Ya kupooza).
Siku ya harusi yao ilibidi hao rafiki zake wasimame nyuma ili kumtegemeza(Support) ili aweze kusimama vizuri kwa ajili ya tukio hilo la ndoa yake.
Sasa kwa anayejua habari kamili atusaidie kujua huyu bwana Harusi alipona au yuko na hali hio mpaka sasa na Ndoa yao inaendeleaje?wana watoto au vipi?
Karibuni.View attachment 2601624