Anayejua Habari kamili ya hawa wanandoa atusaidie!!


Nafikiri inatosha ulivyoelewa, mengine umbea.
 
Hao wa nyuma hawana dalili kama wanambeba mtu asiyeweza kusimama.
Wanaume siku hizi wanatafuta sababu hata zisizo za ulazima kukaribiana (kimwili) kiasi hiki. Inatisha!
Eh? Nyinyi bado mpo huko tu?
 
Habari za huzuni huzuni zinakufurahisha sana eh
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…