Anayejua idadi kamili ya nywele zake aniambie nimpe zawadi !!

Anayejua idadi kamili ya nywele zake aniambie nimpe zawadi !!

Setfree

JF-Expert Member
Joined
Dec 25, 2024
Posts
1,679
Reaction score
2,123
Ni ajabu sana mpaka leo, wanasayansi hawajaweza kujua idadi kamili ya nywele za mtu. Wana-estimate tu.

Scientists and researchers estimate the average number of hairs based on hair type and color. On average:
Blondes: ~150,000 hairs
Brunettes: ~110,000 hairs
Black hair: ~100,000 hairs
Redheads: ~90,000 hairs

Mungu aliyetuumba, Yeye anaijua idadi kamili ya nywele zetu.

Mathayo 10:30
Hata nywele za vichwa vyenu zote zimehesabiwa.

Ufunuo 4:11
“Bwana wetu na Mungu wetu, wewe unastahili kupokea utukufu na heshima na uweza, kwa maana ndiwe uliyeviumba vitu vyote, na kwa mapenzi yako viliumbwa na vimekuwako.”
 
MAREHEMU NDIO ALIKUWA ANAWEZA HAYA.ALIPO NIACHA MDOMO WAZI KUSEMA ZIWA TANGANYIKA LINA DAGAA TRILIONI
 
MAREHEMU NDIO ALIKUWA ANAWEZA HAYA.ALIPO NIACHA MDOMO WAZI KUSEMA ZIWA TANGANYIKA LINA DAGAA TRILIONI
Kwani lina dagaa wangapi, wewe umeishawahesabu?
 
Hair0.jpg

Ufunuo 4:11
“Bwana wetu na Mungu wetu, wewe unastahili kupokea utukufu na heshima na uweza, kwa maana ndiwe uliyeviumba vitu vyote, na kwa mapenzi yako viliumbwa na vimekuwako.”
 
Hair1.jpg

Ufunuo 4:11
“Bwana wetu na Mungu wetu, wewe unastahili kupokea utukufu na heshima na uweza, kwa maana ndiwe uliyeviumba vitu vyote, na kwa mapenzi yako viliumbwa na vimekuwako.”
 
Hair3.jpg

Ufunuo 4:11
“Bwana wetu na Mungu wetu, wewe unastahili kupokea utukufu na heshima na uweza, kwa maana ndiwe uliyeviumba vitu vyote, na kwa mapenzi yako viliumbwa na vimekuwako.”
 
Hair4.jpg

Ufunuo 4:11
“Bwana wetu na Mungu wetu, wewe unastahili kupokea utukufu na heshima na uweza, kwa maana ndiwe uliyeviumba vitu vyote, na kwa mapenzi yako viliumbwa na vimekuwako.”
 
Back
Top Bottom