Kinoamiguu
JF-Expert Member
- Nov 29, 2018
- 11,936
- 15,196
Hawezi hana huo uwezo kuna watu ukiwambia tujadili mambo ya nchi bila kumtaja mbowe wala lisu hawawezi kujadili loloteJitahidi sana kujikita kwenye mada
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hawezi hana huo uwezo kuna watu ukiwambia tujadili mambo ya nchi bila kumtaja mbowe wala lisu hawawezi kujadili loloteJitahidi sana kujikita kwenye mada
HakikaHawezi hana huo uwezo kuna watu ukiwambia tujadili mambo ya nchi bila kumtaja mbowe wala lisu hawawezi kujadili lolote
Unamkuta mtu na akili zake anakuambia ati kwakuwa fulani watt wake wanaishi ulaya basi ni shoga!? Stupid watu hawa walisoma shule gani huko walikofundishwa ujinga wa kiwango hiki?Hakika
Unamkuta mtu na akili zake anakuambia ati kwakuwa fulani watt wake wanaishi ulaya basi ni shoga!? Stupid watu hawa walisoma shule gani huko walikofundishHakika
Ntibenda aliyekuwa huko Kaskazini sijui Arusha sijui RAS ni mtu wa Kitengo?.Yaani unaamini mtu wa kitengo kama lusubilo au ntibenda wanaweza kufunguliwa mashataka na kesi ukaisikia tena?
Mwakibibi ni ndugu yako, nyinyi wote ni vijana wa Kyela. Muache tu aendelee na maisha.
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]Huyo ni lazima atakuwa Mwakyembe au Chawa wake kwani wanaogopa Mwakibibi anaweza kugombea Ubunge huko kwao.
Kwani mimi nina shida basi ? nimeuliza tuMwakibibi ni ndugu yako, nyinyi wote ni vijana wa Kyela. Muache tu aendelee na maisha.
ELIA MICHAELLusubilo mwakabibi alipita kibondo kakonko then Temeke km DED nadhan plea bargain ishafanya kazi yake na kwa sheria hiyo ilivyo ni kapuku tu atakayefungwa (nje ya mada Mwakabibi alifanya kazi nzuri kutokumtangaza Elia michael maana tungepeleka kituko bungeni kwa sasa pamoja na kuwa katibu tarafa amekuwa kituko cha karne huko kakonko
Nasikia hakuna kesi wakifukunyua kuna uchafu Mwingi unamrudia no 2...kuwekwa mkononi na matajiri wa TMK wanaofisafi stand kuu TMK isijengwe kwa maslahi yao mapana....data zote zipo wazi ....matajiri wanahujumu stand wanapiga hela ndefu sana kutumia stand zao binafsi...kusafrisha watu na mizigo kwenda kusini.....wameungana...wanamlinda huyokigogo ....system wanajua yote ....Kwanza nikupongeze kiongozi kwa kuleta hii IDEA..nitaomba hili zoezi liwe ENDELEVU..kesi zote zenye MASLAHI ya UMMA tuweke utaratibu wa kuulizia maendeleo yake..hata wakijafanya hawajali wajue tu tunafahamu
Kwa kuongezea kuna hizi KESI;
I.Mkurugenzi( DED) wa Itigi na kesi ya KUUA
Ii.Kesi ya Mkurugenzi wa zamani RAHCO
Iii.Kesi ya Bwana Peter Noni, naona kashaanza kupata ujumbe wa Bodi mbalimbali
IV.Kezi za Wakurugenzi (DED) Iramba/Mkalama, Ushetu et al + huyo ex DC ambaye alikuwa DED Ruangwa
V.Kesi ya ex MD wa Bandari bwana Kipande, at least hii huwa unapata MREJESHO
Mwisho,
Tukirudi kwa bwana Mwakabibi, ni ukweli kabisa ni KIJANA wa System, na kabla ya huko Kibondo alikuwa Wizara ya Mambo ya Nje, inawezekana kabisa kombe limefunikwa..
Watuambie tu kwamba , kwa vile Mwakabibi ni Mtu wa Kitengo basi kesi yake imefutwa , sisi Watanzania hatuna la kuwafanyaKwanza nikupongeze kiongozi kwa kuleta hii IDEA..nitaomba hili zoezi liwe ENDELEVU..kesi zote zenye MASLAHI ya UMMA tuweke utaratibu wa kuulizia maendeleo yake..hata wakijafanya hawajali wajue tu tunafahamu
Kwa kuongezea kuna hizi KESI;
I.Mkurugenzi( DED) wa Itigi na kesi ya KUUA
Ii.Kesi ya Mkurugenzi wa zamani RAHCO
Iii.Kesi ya Bwana Peter Noni, naona kashaanza kupata ujumbe wa Bodi mbalimbali
IV.Kezi za Wakurugenzi (DED) Iramba/Mkalama, Ushetu et al + huyo ex DC ambaye alikuwa DED Ruangwa
V.Kesi ya ex MD wa Bandari bwana Kipande, at least hii huwa unapata MREJESHO
Mwisho,
Tukirudi kwa bwana Mwakabibi, ni ukweli kabisa ni KIJANA wa System, na kabla ya huko Kibondo alikuwa Wizara ya Mambo ya Nje, inawezekana kabisa kombe limefunikwa..