Anayejua ilipofikia kesi ya Uhujumu Uchumi iliyomkabili Mwakabibi aliyekuwa DED wa Temeke atuambie

Anayejua ilipofikia kesi ya Uhujumu Uchumi iliyomkabili Mwakabibi aliyekuwa DED wa Temeke atuambie

Kwanza nikupongeze kiongozi kwa kuleta hii IDEA..nitaomba hili zoezi liwe ENDELEVU..kesi zote zenye MASLAHI ya UMMA tuweke utaratibu wa kuulizia maendeleo yake..hata wakijafanya hawajali wajue tu tunafahamu

Kwa kuongezea kuna hizi KESI;
I.Mkurugenzi( DED) wa Itigi na kesi ya KUUA
Ii.Kesi ya Mkurugenzi wa zamani RAHCO
Iii.Kesi ya Bwana Peter Noni, naona kashaanza kupata ujumbe wa Bodi mbalimbali
IV.Kezi za Wakurugenzi (DED) Iramba/Mkalama, Ushetu et al + huyo ex DC ambaye alikuwa DED Ruangwa
V.Kesi ya ex MD wa Bandari bwana Kipande, at least hii huwa unapata MREJESHO

Mwisho,
Tukirudi kwa bwana Mwakabibi, ni ukweli kabisa ni KIJANA wa System, na kabla ya huko Kibondo alikuwa Wizara ya Mambo ya Nje, inawezekana kabisa kombe limefunikwa..
 
Lusubilo mwakabibi alipita kibondo kakonko then Temeke km DED nadhan plea bargain ishafanya kazi yake na kwa sheria hiyo ilivyo ni kapuku tu atakayefungwa (nje ya mada Mwakabibi alifanya kazi nzuri kutokumtangaza Elia michael maana tungepeleka kituko bungeni kwa sasa pamoja na kuwa katibu tarafa amekuwa kituko cha karne huko kakonko
ELIA MICHAEL
 
Kwanza nikupongeze kiongozi kwa kuleta hii IDEA..nitaomba hili zoezi liwe ENDELEVU..kesi zote zenye MASLAHI ya UMMA tuweke utaratibu wa kuulizia maendeleo yake..hata wakijafanya hawajali wajue tu tunafahamu

Kwa kuongezea kuna hizi KESI;
I.Mkurugenzi( DED) wa Itigi na kesi ya KUUA
Ii.Kesi ya Mkurugenzi wa zamani RAHCO
Iii.Kesi ya Bwana Peter Noni, naona kashaanza kupata ujumbe wa Bodi mbalimbali
IV.Kezi za Wakurugenzi (DED) Iramba/Mkalama, Ushetu et al + huyo ex DC ambaye alikuwa DED Ruangwa
V.Kesi ya ex MD wa Bandari bwana Kipande, at least hii huwa unapata MREJESHO

Mwisho,
Tukirudi kwa bwana Mwakabibi, ni ukweli kabisa ni KIJANA wa System, na kabla ya huko Kibondo alikuwa Wizara ya Mambo ya Nje, inawezekana kabisa kombe limefunikwa..
Nasikia hakuna kesi wakifukunyua kuna uchafu Mwingi unamrudia no 2...kuwekwa mkononi na matajiri wa TMK wanaofisafi stand kuu TMK isijengwe kwa maslahi yao mapana....data zote zipo wazi ....matajiri wanahujumu stand wanapiga hela ndefu sana kutumia stand zao binafsi...kusafrisha watu na mizigo kwenda kusini.....wameungana...wanamlinda huyokigogo ....system wanajua yote ....
 
Kwanza nikupongeze kiongozi kwa kuleta hii IDEA..nitaomba hili zoezi liwe ENDELEVU..kesi zote zenye MASLAHI ya UMMA tuweke utaratibu wa kuulizia maendeleo yake..hata wakijafanya hawajali wajue tu tunafahamu

Kwa kuongezea kuna hizi KESI;
I.Mkurugenzi( DED) wa Itigi na kesi ya KUUA
Ii.Kesi ya Mkurugenzi wa zamani RAHCO
Iii.Kesi ya Bwana Peter Noni, naona kashaanza kupata ujumbe wa Bodi mbalimbali
IV.Kezi za Wakurugenzi (DED) Iramba/Mkalama, Ushetu et al + huyo ex DC ambaye alikuwa DED Ruangwa
V.Kesi ya ex MD wa Bandari bwana Kipande, at least hii huwa unapata MREJESHO

Mwisho,
Tukirudi kwa bwana Mwakabibi, ni ukweli kabisa ni KIJANA wa System, na kabla ya huko Kibondo alikuwa Wizara ya Mambo ya Nje, inawezekana kabisa kombe limefunikwa..
Watuambie tu kwamba , kwa vile Mwakabibi ni Mtu wa Kitengo basi kesi yake imefutwa , sisi Watanzania hatuna la kuwafanya
 
Back
Top Bottom