POST GRADUATE DIPLOMA ni Kiwango cha elimu baada ya kumaliza DEGREE(SHAHADA), kinachotolewa kutokana na sababu zifuatazo 1.kutaka kubadilisha fani 2.kutokuwa na G.P.A ya kutosha ya kusoma MASTERS ,vyuo vinavyotoa POST GRADUATE DIPLOMA ni kama UDSM,MUCCoBS,TIA,IFM,
Nadhani hapa sihitaji kuongeza kitu!
POST GRADUATE DIPLOMA ni Kiwango cha elimu baada ya kumaliza DEGREE(SHAHADA), kinachotolewa kutokana na sababu zifuatazo 1.kutaka kubadilisha fani 2.kutokuwa na G.P.A ya kutosha ya kusoma MASTERS ,vyuo vinavyotoa POST GRADUATE DIPLOMA ni kama UDSM,MUCCoBS,TIA,IFM,[
/QUOTE]
udom pia wanatoa postgraduat
e diploma in education (pgde)
POST GRADUATE DIPLOMA ni Kiwango cha elimu baada ya kumaliza DEGREE(SHAHADA), kinachotolewa kutokana na sababu zifuatazo 1.kutaka kubadilisha fani 2.kutokuwa na G.P.A ya kutosha ya kusoma MASTERS ,vyuo vinavyotoa POST GRADUATE DIPLOMA ni kama UDSM,MUCCoBS,TIA,IFM,[
/QUOTE]
udom pia wanatoa postgraduat
e diploma in education (pgde)
Pamoja sana mkuu
POST GRADUATE DIPLOMA ni Kiwango cha elimu baada ya kumaliza DEGREE(SHAHADA), kinachotolewa kutokana na sababu zifuatazo 1.kutaka kubadilisha fani 2.kutokuwa na G.P.A ya kutosha ya kusoma MASTERS ,vyuo vinavyotoa POST GRADUATE DIPLOMA ni kama UDSM,MUCCoBS,TIA,IFM,
Kumbe inawezekana ukawa na mawazo mazuri namna hii.., kilichokuwa kinakufanya unapoteza muda kwa kuandika pumba kwa ile id nyingine ni nini.!? Hongera kwa kubadilika
Kumbe inawezekana ukawa na mawazo mazuri namna hii.., kilichokuwa kinakufanya unapoteza muda kwa kuandika pumba kwa ile id nyingine ni nini.!? Hongera kwa kubadilika
POST GRADUATE DIPLOMA ni Kiwango cha elimu baada ya kumaliza DEGREE(SHAHADA), kinachotolewa kutokana na sababu zifuatazo 1.kutaka kubadilisha fani 2.kutokuwa na G.P.A ya kutosha ya kusoma MASTERS ,vyuo vinavyotoa POST GRADUATE DIPLOMA ni kama UDSM,MUCCoBS,TIA,IFM,
Kuna mtu nilimwambia kuwa kama GPA haitoshi kusoma Masters unasoma Postgraduate Diploma, wacha abishe! Akasema hakuna kitu kama hicho! Ukiwa huna GPA ya kusoma Masters hakuna altenative ya kusonga mbele unless usome degree ya kozi nyingine ili upate hiyo GPA. Some people bana! Wajuajiiiii!
Alikuwa anakubishia mwambie sasa na evidence ni kutoka kwangu mimi
thatha kwa nini ubadilxhe fan, komaa m'baba uxikimbie tatzo.